Mwanajeshi Comando mmoja wa DRC aivamia Rwanda

Mwanajeshi Comando mmoja wa DRC aivamia Rwanda

Alice Gisa

Senior Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
172
Reaction score
417
Mwanajeshi mmoja wa jeshi la DRC liitwalo FARDC ameivamia nchi ya Rwanda Leo trh 17.06.2022 alfajiri. Jamaa akiwa na bunduki aina ya AK 47 amaevamia post ya mpaka na kuingiza nchini Rwanda.

Jamaa amewasambilia wanajeshi wa Rwanda na kuua watatu na kujeruhi wengine.

Aidha Jeshi la Rwanda limefanikiwa kumuua.

Japokua jeshi La Rwanda limekanusha kuuwawa kwa maasikari wao lakini video mitandao zinathibitisha kuuwawa kwa maasikari hao.

Joto kati ya DRC na Rwanda linazidi kuongezeka.
 
Leta SOSI ya taarifa hii ili tufuatilie vizuri maana hakuna mwanajeshi mwenye weredi anayeweza kufanya hivi. Nijuavyo, wanajeshi wa Rwanda walio mpakani ni kawaida yao kutwangana wakigombea maslah ama wakati mwingine Askari wa Rwanda aliyejitoa muhanga ndani ya Kongo akirudi na madini ama dolali za kutosha wenzie humnyanganya.

Hali hii inawafnya hawa wanyarwanda kuwa kuuana kwenye mpaka wa DRC na Rwanda kuwa jambo la kawaida. Rwanda inaweza kutumia upuuzi huu kama propaganda material.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] mtu kashapigwa pumbuh tayari
Screenshot_20220617-155721.jpg
 
Uongo mtupu! hizo video mtandaoni kalete hapa tuone! amejeruhi hajauwa,hawanaga target ya kuuwa wale. ila proof hizi hapa uashe upotoshaji na ushabiki wakijinga. Bangi sio kitu kizuri😂 eti aliigiza kuwa Commando! (RAMBO).
 

Attachments

  • IMG_20220617_154355.jpg
    IMG_20220617_154355.jpg
    122.3 KB · Views: 12
  • IMG_20220617_154121.jpg
    IMG_20220617_154121.jpg
    72.1 KB · Views: 15
  • IMG_20220617_154020.jpg
    IMG_20220617_154020.jpg
    47.3 KB · Views: 13
  • IMG_20220617_154409.jpg
    IMG_20220617_154409.jpg
    67.1 KB · Views: 13
Kapatwa na nini huyo komandoo mcheza ndomborooh
Bangi brother sio kitu!😂😂😂
alfu wa congoman haoooo na maiti ya sijui Slyvester Stallon aka RAMBO!😂😂😂
 

Attachments

  • twitter_20220617_155324.mp4
    1.5 MB
  • IMG_20220617_154409.jpg
    IMG_20220617_154409.jpg
    67.1 KB · Views: 10
  • IMG_20220617_154020.jpg
    IMG_20220617_154020.jpg
    47.3 KB · Views: 9
  • IMG_20220617_154121.jpg
    IMG_20220617_154121.jpg
    72.1 KB · Views: 12
  • IMG_20220617_154355.jpg
    IMG_20220617_154355.jpg
    122.3 KB · Views: 11

Attachments

  • IMG_20220617_154020.jpg
    IMG_20220617_154020.jpg
    47.3 KB · Views: 9
  • IMG_20220617_154121.jpg
    IMG_20220617_154121.jpg
    72.1 KB · Views: 9
  • IMG_20220617_154355.jpg
    IMG_20220617_154355.jpg
    122.3 KB · Views: 9
  • IMG_20220617_154355.jpg
    IMG_20220617_154355.jpg
    122.3 KB · Views: 10
  • IMG_20220617_154121.jpg
    IMG_20220617_154121.jpg
    72.1 KB · Views: 10
  • IMG_20220617_154020.jpg
    IMG_20220617_154020.jpg
    47.3 KB · Views: 11
Leta SOSI ya taarifa hii ili tufuatilie vizuri maana hakuna mwanajeshi mwenye weredi anayeweza kufanya hivi. Nijuavyo, wanajeshi wa Rwanda walio mpakani ni kawaida yao kutwangana wakigombea maslah ama wakati mwingine Askari wa Rwanda aliyejitoa muhanga ndani ya Kongo akirudi na madini ama dolali za kutosha wenzie humnyanganya.

Hali hii inawafnya hawa wanyarwanda kuwa kuuana kwenye mpaka wa DRC na Rwanda kuwa jambo la kawaida. Rwanda inaweza kutumia upuuzi huu kama propaganda material.
Punguza jaziba kaka! usiwe kama alie leta taarifa,bangi sio kitu vijana muache tu. unaingia nchi ya watu unapiga risasi hovyo eti umekua komando kwa kua umevuta bangi!.
 

Attachments

  • IMG_20220617_154020.jpg
    IMG_20220617_154020.jpg
    47.3 KB · Views: 9
  • IMG_20220617_154121.jpg
    IMG_20220617_154121.jpg
    72.1 KB · Views: 9
  • IMG_20220617_154355.jpg
    IMG_20220617_154355.jpg
    122.3 KB · Views: 8
Mbona habari haisemi ivyo au na Rwanda nao wanaplay "Loliondo" kwenye media zao.
hiyo hapo👇wamechukua na maiti yao kabisa.
 

Attachments

  • IMG_20220617_154355.jpg
    IMG_20220617_154355.jpg
    122.3 KB · Views: 7
  • IMG_20220617_154121.jpg
    IMG_20220617_154121.jpg
    72.1 KB · Views: 8
  • IMG_20220617_154020.jpg
    IMG_20220617_154020.jpg
    47.3 KB · Views: 9
  • twitter_20220617_155324.mp4
    1.5 MB
Back
Top Bottom