Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
kapatwa na nini huyo komandoo mcheza ndomborooh
Mbona habari haisemi ivyo au na Rwanda nao wanaplay "Loliondo" kwenye media zao.[emoji1][emoji1][emoji1] mtu kashapigwa pumbuh tayariView attachment 2263776
๐๐ Kusemaje mkuu?Mbona habari haisemi ivyo au na Rwanda nao wanaplay "Loliondo" kwenye media zao.
Bangi brother sio kitu!๐๐๐Kapatwa na nini huyo komandoo mcheza ndomborooh
Komando mbona akili alitumia check mfukoni๐๐Komandoo asiyetumia akili.
Komandoo asiyetumia akili.
Punguza jaziba kaka! usiwe kama alie leta taarifa,bangi sio kitu vijana muache tu. unaingia nchi ya watu unapiga risasi hovyo eti umekua komando kwa kua umevuta bangi!.Leta SOSI ya taarifa hii ili tufuatilie vizuri maana hakuna mwanajeshi mwenye weredi anayeweza kufanya hivi. Nijuavyo, wanajeshi wa Rwanda walio mpakani ni kawaida yao kutwangana wakigombea maslah ama wakati mwingine Askari wa Rwanda aliyejitoa muhanga ndani ya Kongo akirudi na madini ama dolali za kutosha wenzie humnyanganya.
Hali hii inawafnya hawa wanyarwanda kuwa kuuana kwenye mpaka wa DRC na Rwanda kuwa jambo la kawaida. Rwanda inaweza kutumia upuuzi huu kama propaganda material.
hiyo hapo๐wamechukua na maiti yao kabisa.Mbona habari haisemi ivyo au na Rwanda nao wanaplay "Loliondo" kwenye media zao.
MaramuMOSALA ELEKA MALOBA NA EBELE