Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
- Thread starter
-
- #21
Uongo mtupu! hizo video mtandaoni kalete hapa tuone! amejeruhi hajauwa,hawanaga target ya kuuwa wale. ila proof hizi hapa uashe upotoshaji na ushabiki wakijinga. Bangi sio kitu kizuri[emoji23] eti aliigiza kuwa Commando! (RAMBO).
Komandoo kazidiwa akili na wale makomandoo walinzi wa MboweKomandoo asiyetumia akili.
Kaua soldiers wa rwanda kavamia boarder wewe unataka aweje kutunukiwa ucomando hayatiHuyo ni solder tu na sio komandoo
Komandoo hatumii mbinu hizo
Huyo kwa tz ni kama jkt wa miez 3 tu bado anahasira na hamu ya vita huku hajajua matumizi sahihi ya silaha
Kagame shame on youhiyo hapoπwamechukua na maiti yao kabisa.
Congo kwa kelele na mbwembwe huko Twitter unaweza kudhani Ni Superpower au iko inashinda Vita kumbe wanajeshi wake wanapewa kichapo mpaka wanakimbilia Uganda.Tazama makumi elfu ya wakazi wa Jiji la Goma DRC walivyopokea mwili wa Komandoo husika.
Wananchi wanaichangia familia yake fedha kwa kasi kubwa.
Kuna uamsho mkwa wa Kongom kupinga fitina za Rwanda.
Day afadhali kaonyesha uzalendo atakumbukwaMwanajeshi mmoja wa jeshi la DRC liitwalo FARDC ameivamia nchi ya Rwanda Leo trh 17.06.2022 alfajiri. Jamaa akiwa na bunduki aina ya AK 47 amaevamia post ya mpaka na kuingiza nchini Rwanda.
Jamaa amewasambilia wanajeshi wa Rwanda na kuua watatu na kujeruhi wengine.
Aidha Jeshi la Rwanda limefanikiwa kumuua.
Japokua jeshi La Rwanda limekanusha kuuwawa kwa maasikari wao lakini video mitandao zinathibitisha kuuwawa kwa maasikari hao.
Joto kati ya DRC na Rwanda linazidi kuongezeka.
Mwili wake umepewa heshima kama Rais huko Goma. Wananchi wanamtaka ajengewe statue mpakaniDay afadhali kaonyesha uzalendo atakumbukwa
Dah!... majirani wanapochukiana kiasi hiki ni hatariMwili wake umepewa heshima kama Rais huko Goma. Wananchi wanamtaka ajengewe statue mpakani View attachment 2264227
kuna watu mko wasenge, sasa kwenye mgogoro wa rwanda na kongo napo mmeanza ushabiki wa kisenge uoPunguza jaziba kaka! usiwe kama alie leta taarifa,bangi sio kitu vijana muache tu. unaingia nchi ya watu unapiga risasi hovyo eti umekua komando kwa kua umevuta bangi!.
Tutsi wamejawa majivuno, roho mbaya na ubinafsi.Nilichojifunza watu wenye asili ya Ututsi ukabila umewaathiri sana kiasi wanamuona Kagame km godfather wao na Rwanda kama Jerusalem yao. So no matter kinatokea wao watatetea Jerusalem na godfather wao.
PK ni mchokozi Uganda kawachokoza, TZ aliishatuchokoza saiz kahamia DRC huyo dictator anatakiwa aondolewe lasivyo atasumbua hiz nchi za EA..
Dah!... majirani wanapochukiana kiasi hiki ni hatari
Ogopa makabila yanayopenda kubebana. Hata chini ya utawala wa jiwe, miaka ya mbeleni Tz ingefika huko.Nilichojifunza watu wenye asili ya Ututsi ukabila umewaathiri sana kiasi wanamuona Kagame km godfather wao na Rwanda kama Jerusalem yao. So no matter kinatokea wao watatetea Jerusalem na godfather wao.
Apigweeeeeee apigweeeeeee apigweeeeeee πππPK ni mchokozi Uganda kawachokoza, TZ aliishatuchokoza saiz kahamia DRC huyo dictator anatakiwa aondolewe lasivyo atasumbua hiz nchi za EA.
Tshesekedi kishawanywesha sumu ya uzalendo wacongo,huko mbeleni isipobadilika itakua hatari sana maziwa makuuTazama makumi elfu ya wakazi wa Jiji la Goma DRC walivyopokea mwili wa Komandoo husika.
Wananchi wanaichangia familia yake fedha kwa kasi kubwa.
Kuna uamsho mkwa wa Kongom kupinga fitina za Rwanda.
DRC YACHOSHWA NA RWANDA, WAZICHAPE TU, THEN WAIKALIE RWANDA NDIPO DRC ITAPATA AMANI RWANDA NDIO CHANZO CHA KILA BALAA NDANI YA DRC,Mwanajeshi mmoja wa jeshi la DRC liitwalo FARDC ameivamia nchi ya Rwanda Leo trh 17.06.2022 alfajiri. Jamaa akiwa na bunduki aina ya AK 47 amaevamia post ya mpaka na kuingiza nchini Rwanda.
Jamaa amewasambilia wanajeshi wa Rwanda na kuua watatu na kujeruhi wengine.
Aidha Jeshi la Rwanda limefanikiwa kumuua.
Japokua jeshi La Rwanda limekanusha kuuwawa kwa maasikari wao lakini video mitandao zinathibitisha kuuwawa kwa maasikari hao.
Joto kati ya DRC na Rwanda linazidi kuongezeka.
>Congolese must unite and be one with one goal.
wangeungana na kwenda kushambulia Rwanda si wangemaliza kaz mapema tuTazama makumi elfu ya wakazi wa Jiji la Goma DRC walivyopokea mwili wa Komandoo husika.
Wananchi wanaichangia familia yake fedha kwa kasi kubwa.
Kuna uamsho mkwa wa Kongom kupinga fitina za Rwanda.