Mwanajeshi wa Iran aingiwa na mzuka na kuua wenzake watano, eneo lililoshambuliwa na bomu

Huyo ni mpakistan kavaa nguo za jeshi la Iran.
 
Allahu akbar!
Apewe maua yake
Bwana Yesu anasema ktk

LUKA 19:27

Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa MWACHINJE mbele yangu.

Na Akahimiza ktk MATHAYO 10:34 Kuwa " Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali UPANGA. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.
Na akatoa AMRI kwa wafuasi wake wote kwenye
LUKA 22:36 Na KAHIMIZA WAFUASI WAKE KWENYE LUKA 22:36

Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na UPANGA, na auze joho lake akanunue.

Kwahio KUUA KWA UPANGA NA KUCHINJANA tumefunzwa na BIBLIA .
 
Out of context
 
We una wadudu kichwani....Akili zako zinawaza kishoga shoga tu sijawahi kukujibu maana huwa naangalia na mtu wa kumjibu

Umesahau yule mwanajeshi wa Israel aliyewaua wenzake na kuwajeruhi kwa makumi?
Mbona unakuwa mkali hivyo mkuu!
Si kuna kile kiimani chenu jamani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…