Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
Alikuwa hajui masikini ya Mungu kwamba red carpet ni kwa viongozi tu.....
Angalia kuanzia hapo nilipotega....
Mjeshi wa Samia, kaitwa pembeni na kachero la kikorea
Huu utaratibu wa rais wetu kufuatwa na mwanajeshi kila hatua kila Rais anaekuja anaiga.... Monkey See, Monkey Do....
Mjeshi anamfata nyuma utadhani wamebeba ki button cha kulipua nuclear bomb kama Putin na Biden...
Angalia kuanzia hapo nilipotega....
Mjeshi wa Samia, kaitwa pembeni na kachero la kikorea
Huu utaratibu wa rais wetu kufuatwa na mwanajeshi kila hatua kila Rais anaekuja anaiga.... Monkey See, Monkey Do....
Mjeshi anamfata nyuma utadhani wamebeba ki button cha kulipua nuclear bomb kama Putin na Biden...