Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Hey mwanajf uliepo hapa maisha basement njoo tusherehekee mkesha wa krismass au vepe ,nimevaa kikaptula chekundu na top nyeusi,
Haya ni wewe tu kama upo hapa wahi kabla sijabadili mawazo kuna totoz za kufa mtu za kiume na za kike si mchezo hapa natoa macho ,pembeni yangu yupo Nyani ngabu njoo umuone live hapa nimemkamatilia
View attachment 450060View attachment 450061
Ngoja nikupige picha.....manake ulivotokelezea umefunika woooooote kabisa yaani pamoja na shangazi na bibi zao
Sasa ole wako untapikie....ntakuja kukutangaza humu na mapicha juuNimeishanywa yoteee
Njoo unikalie basi....Ashiii tuendeleee na yetu bana huku tunawasubiria wataokuja hapa ama nene
Nikirusha zote patakalika kweli hapa?Yapa rusha picha zote,,kasoro zile za kwako tu,,,kesho ni rock bottom au jembe ni jembe
Mwenzio hapa natetemeka kama nina DEGEDEGENipo sema njoo haraka
Acha waje watuone bila chenga.Basi acha waje watuone live au vepe
Halafu hivi we ni nani?Mwenzio hapa natetemeka kama nina DEGEDEGE
Ha ....Halafu hivi we ni nani?
Angalia usije vunjiwa chupa ya nyagi usoni..
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Ha ....
Swadaktaaaaa.....Ngoja nimrusheee
Matola njoo sasa tupo hapa tunakusubiri
Wale sato hawa hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 450065
Hapo sawa...Mwache aje hakuna kugusa hata kucha
Nashindwa hata kuongea.Unatetemekea ninii sasa nawe acha uoga