Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
- #21
🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣
Mashangazi mubarikiweBut why mashangazii[emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Poa za weweMambo
AmeeenMashangazi mubarikiwe
Shangazi wapi, tukale maisha good fridayAmeeen
Sasa me utaniweka kwenye ubinti na huu uzee jamaniShangazi wapi, tukale maisha good friday
upo kundi la ushangazi, mie na mabinti wapi na wapi. Hawajui maisha hataSasa me utaniweka kwenye ubinti na huu uzee jamani
Kwahiyo tumekutana shangazi na mjomba [emoji23] au uncle na auntyupo kundi la ushangazi, mie na mabinti wapi na wapi. Hawajui maisha hata
Ewaaaa... shangazi na mjombaa kwa kizungu ndio aunt and uncleKwahiyo tumekutana shangazi na mjomba [emoji23] au uncle na aunty
Naaaam [emoji23][emoji23]Ewaaaa... shangazi na mjombaa kwa kizungu ndio aunt and uncle
Leo kuna good friday.. tukale samaki choma na vi wine hivi.. huku tunaangalia marudio ya simba na ihefu na mziki wa old is gold kina casanovaNaaaam [emoji23][emoji23]
Safi tu, hivi hiii ID nmeipatia ? Alijiita 'Maserati' ?.Poa za wewe
Kama sijakosea ID yake , ila Huyu Bidada sijui alibadili ID, Sijui ilikuaje!..Mara ya mwisho kuona ID yake ni 2017
Kipindi najiunga JF niliwahi mshobokea PM, ni Mdada Mzuri, wa Umbo na Sura , Mpole pole with sweet language , Nahisi wa Kishua hivi .
Wee Bidada kama upo Hai tusalimiane !!
Shunie Nahisi alikua best yako !!.
Be humble
Love People
Invest in People!!
DuuhKama sijakosea ID yake , ila Huyu Bidada sijui alibadili ID, Sijui ilikuaje!..Mara ya mwisho kuona ID yake ni 2017
Kipindi najiunga JF niliwahi mshobokea PM, ni Mdada Mzuri, wa Umbo na Sura , Mpole pole with sweet language , Nahisi wa Kishua hivi .
Wee Bidada kama upo Hai tusalimiane !!
Shunie Nahisi alikua best yako !!.
Be humble
Love People
Invest in People!!
Alibadili names, yupoo ila kwa kuibia sanaa.