MwanaJF Malisa GJ amefunga ndoa leo jijini Arusha

MwanaJF Malisa GJ amefunga ndoa leo jijini Arusha

Duh imekaa vizuri sana,Suti zimependeza mno,ningemjua Huyo Fundi ningefurahi sana
Speshoz. Nenda Instagram search Speshoz suits zinaanzia laki mbili na points mpaka laki nne na 85 kama sijasahau.
 
Jamaa si tayari kashazaa mkewake ana mtoto huyu.Hivi KKKT nao kama Katoliki kumbe eeh unabariki tu ndoa na sio kufunga ndoa
Asingefunga naye ndoa mngesema mengine khaaa waja wa Adam wazito mno
 
Afadhali sasa atapunguza kushinda mitandaoni,akizembea tu Mwenyekiti atanyakua
Ndio maana tanzagiza imekuwa kimya siku za hivi karibuni. Kumbe jamaa alitingwa na mikakati ya harusi. Sasa naanza naelewa.
 
Huyo "shekhe", wa kwanza kushoto kwenye picha ya katikati, anatafuta nini hapo?
Te he te he te he. Swali hilo hata mimi nimejiuliza. Lakini nikagundua ni vazi la kawaida,yeyote anavaa,lakini pia kwan Sheikh hawez kwenda just kuja tu kujumuika kwa kuwa tuko kwenye jamii moja tumechanganyikana.
 
Ameni-inspire ile mbaya...kesho nami natarajia kufunga ndoa kwenye kanisa la hapa kijijini kwetu Mbaha, wilayani Nyasa mkoa wa Ruvuma. Karibuni sana na hongera kakangu Malisa GJ.
 
Ndio maana tanzagiza imekuwa kimya siku za hivi karibuni. Kumbe jamaa alitingwa na mikakati ya harusi. Sasa naanza naelewa.
We muache aendelee kulala juu ya laptop kama watu hawajamtwaa huyo dada
 
Back
Top Bottom