Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana.Baada ya rafiki zangu wengi kuwa wanaongelea sana habari wanazopata JF hasa kwenye mambo ya siasa na kijamii, na mimi nikaona bora nijiunge. natumaini nitakaribishwa kwa mikono miwili.
Tembelea majukwaa mbali mbali utajioneawapi kuna burudani?
Huo ukaka ukaka huo unaweza nikosesha fursa hapo mbeleni ( joking)asante sana kaka
Karibu sana sasa unajiunga jukwaa lipi kati ya hayo ulotajaBaada ya rafiki zangu wengi kuwa wanaongelea sana habari wanazopata JF hasa kwenye mambo ya siasa na kijamii, na mimi nikaona bora nijiunge. natumaini nitakaribishwa kwa mikono miwili.