TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

Ilala imezizima. Poleni sana wana ilala.

Alikuwa ndo kaanza kazi Marekani baada ya ku kuhustle dizonga kwa muda mrefu.

Mungu awatie nguvu wafiwa...

Duh hadi unaweza kusema katupiwa mdudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…