Dogolas paskali hatongozagi vikongwe kama kina siye. Yy zake ni za damu mbichi ya ma mheshimiwa wa chanikiwitiasipokutongoza sijui
msukuma hatari sana huyu😀😀
Hivi nayeye kalikatikiaga? Manake duh.....kibendi na uheshimiwa sijui inakuwaje😎😎😎😎Kamzigo bado hajakadondosha? Au tayari
Naunga mikono, miguu na kichwa kabisaa!! Bila picha huu uzi hauna mashiko wala maana yoyotePaskali Brother, naandika hii comments nikiwa na hasira sanaaaaa.
Wewe ni mkongwe na tunakuheshimu sana hapa JF na michango yako inaheshimika sana.
Ila thread za aina hii bila picha ni kama dera bila chura (@behaviorist) na inakuwa ni kanzu sasa.
Kwa hio nikuulize tu brother.
Ukipigwa ban utalaumu?
Tafadhali nenda kaweke picha pale juu
Ni hayo tu sina jingine.
Mtu ambaye anaelezwa kuwa amekuwa Msukuma haswa, it's as if mwanzo hakuwa Msukuma haswa ila, siku za hivi karibu ndio amekuwa Msukuma haswa!. Kwanini zamani nilikuwaje as far as Usukuma is concerned?.Pasikali umekuwa MSUKUMA haswaaaaaa siku za hivi karibuni.
No Mimi sio Mbeya, Wambeya ni watu was Mbeya, Mimi hi Mmwanza ndio maana sikutaja jina. Ningekuwa Mbeya, ningemtaja jina.Kumbe mkuu na wewe ni mbea hivi?
Ha ha ha ha ha ha ,haya bhana mkuu sikupingi.No Mimi sio Mbea, wambea ni watu was Mbeya, Mimi hi mmwanza ndio maana sikutaja jina. Ningekuwa Mbeya, ningemtaja jina.
P
Yes it's true, I'm only human."Fatal attraction"
Kamaanisha..Mtu ambaye anaelezwa kuwa amekuwa Msukuma haswa, it's as if mwanzo hakuwa Msukuma haswa ila, siku za hivi karibu ndio amekuwa Msukuma haswa!. Kwanini zamani nilikuwaje as far as Usukuma is concerned?.
P
Mkuu Mbushuu, Binti nilianza kumpigania kitambo, soma bandiko hili uangalie ni la lini,Kwamba mkuu umemzimia Juliana Shonza basi sawa.
No kweli, huyu Binti ana nyota kali, ndiye aliyeelezwa charity ya kupendwa Mondi, hata mimi kiukweli kabisa namzikikia na hata wife anajua, na kabila langu linaruhusu.Wema Ana nyota bhana 🤣🤣
Bila picha uzi wako hauna maana ni kama umbea wa vibarazaniWana Jf,
Kwanza hii ni Friday night, hivyo mara moja moja let's socialize and take it easy with threads za light touch.
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!", hata Adam, aliyefinywagwa na Mungu mwenyewe, akaambiwa na Mungu mwenyewe, "hiki usifanye", "usile tunda la mti wa katikati" "ukila utakufa!", lakini Adamu alipokuja kushawishiwa na mwanamke Eva, tule!, Adam alikula, na wote wakaangamia!. Hakuna any man strong enough anayeweza kushinda "the strength of a woman".
Hata mtu aliyeelezwa kuwa na nguvu kuliko binadamu wote aliitwa Samson, Nate na miguvu take yote was nothing mbele ya mwanamke mrembo Delilah, hivyo na mimi naomba kukiri kuwa, hata mimi, mbele ya wanawake, niko very weak, hivyo leo nimejikuta nalazimishwa kuangalia Wasafi TV, live ikonyesha birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, ikitangazwa live kutoka Mlimani City, na nimelazimishwa kuangalia by non other than a woman!, kiukweli wanawake wana power na command!.
Hivyo katika kufuatilia sherehe hiyo, ndipo nikamuona mwana jf mwenzetu, ambaye ni Naibu Waziri akitinga kwenye red carpet, na kiukweli ametokelezea kwa kupendezea na gauni lake la rangi ya Chanikiwiti.
Jee kuna ubaya wowote, kumsifia mwana jf mwenzetu, ukimuona mahali ametokea na ametokelezea?.
Macho yameona, nimeamua kukiri amependezea!, hongera mwana jf mwenzetu na hilo gauni lako la Chanikiwiti.
Naomba msiniulize ni nani na wala msiulizie picha, wewe jua tuu ni mwana jf mwenzetu ambaye ni naibu waziri, amehudhuria hafla birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, huku amevalia gaining lake la rangi ya Chanikiwiti, amependeza, ametokelezea.
Nawatakia Furahi Dei njema.
P.
tina turner is more than 75 but still hotDogolas paskali hatongozagi vikongwe kama kina siye. Yy zake ni za damu mbichi ya ma mheshimiwa wa chanikiwiti
Meena kweli mpenzi wa Mungu, na beki3, wanasaidia sana, haswa katika kuokoa majahazi, tatizo ni pale mwenye nyumba ni Mchagga halafu beki3 ni Tanga line!, mtu lazima uchelewe!, hivyo Mimi sikushangai!.Mimi nimecheleweshwa na beki3. Alipoteza kadi yangu yani hapa nawaza sjui kama nitaiyona