Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!

Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!

Kwani dhambi kama kaalikwa na nafasi anayo kwanini asiende? Pia katokea kwenye kundi la vijana,.
 
Paskali Brother, naandika hii comments nikiwa na hasira sanaaaaa.

Wewe ni mkongwe na tunakuheshimu sana hapa JF na michango yako inaheshimika sana.

Ila thread za aina hii bila picha ni kama dera bila chura (@behaviorist) na inakuwa ni kanzu sasa.

Kwa hio nikuulize tu brother.

Ukipigwa ban utalaumu?

Tafadhali nenda kaweke picha pale juu

Ni hayo tu sina jingine.
Naunga mikono, miguu na kichwa kabisaa!! Bila picha huu uzi hauna mashiko wala maana yoyote
 
Pasikali umekuwa MSUKUMA haswaaaaaa siku za hivi karibuni.
Mtu ambaye anaelezwa kuwa amekuwa Msukuma haswa, it's as if mwanzo hakuwa Msukuma haswa ila, siku za hivi karibu ndio amekuwa Msukuma haswa!. Kwanini zamani nilikuwaje as far as Usukuma is concerned?.
P
 
Mtu ambaye anaelezwa kuwa amekuwa Msukuma haswa, it's as if mwanzo hakuwa Msukuma haswa ila, siku za hivi karibu ndio amekuwa Msukuma haswa!. Kwanini zamani nilikuwaje as far as Usukuma is concerned?.
P
Kamaanisha..
ulikuwa" vile" na sasa hivi umekuwa "hivi"
 
Wema Ana nyota bhana 🤣🤣
No kweli, huyu Binti ana nyota kali, ndiye aliyeelezwa charity ya kupendwa Mondi, hata mimi kiukweli kabisa namzikikia na hata wife anajua, na kabila langu linaruhusu.
P
 
Wana Jf,
Kwanza hii ni Friday night, hivyo mara moja moja let's socialize and take it easy with threads za light touch.

Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!", hata Adam, aliyefinywagwa na Mungu mwenyewe, akaambiwa na Mungu mwenyewe, "hiki usifanye", "usile tunda la mti wa katikati" "ukila utakufa!", lakini Adamu alipokuja kushawishiwa na mwanamke Eva, tule!, Adam alikula, na wote wakaangamia!. Hakuna any man strong enough anayeweza kushinda "the strength of a woman".

Hata mtu aliyeelezwa kuwa na nguvu kuliko binadamu wote aliitwa Samson, Nate na miguvu take yote was nothing mbele ya mwanamke mrembo Delilah, hivyo na mimi naomba kukiri kuwa, hata mimi, mbele ya wanawake, niko very weak, hivyo leo nimejikuta nalazimishwa kuangalia Wasafi TV, live ikonyesha birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, ikitangazwa live kutoka Mlimani City, na nimelazimishwa kuangalia by non other than a woman!, kiukweli wanawake wana power na command!.

Hivyo katika kufuatilia sherehe hiyo, ndipo nikamuona mwana jf mwenzetu, ambaye ni Naibu Waziri akitinga kwenye red carpet, na kiukweli ametokelezea kwa kupendezea na gauni lake la rangi ya Chanikiwiti.

Jee kuna ubaya wowote, kumsifia mwana jf mwenzetu, ukimuona mahali ametokea na ametokelezea?.

Macho yameona, nimeamua kukiri amependezea!, hongera mwana jf mwenzetu na hilo gauni lako la Chanikiwiti.

Naomba msiniulize ni nani na wala msiulizie picha, wewe jua tuu ni mwana jf mwenzetu ambaye ni naibu waziri, amehudhuria hafla birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, huku amevalia gaining lake la rangi ya Chanikiwiti, amependeza, ametokelezea.

Nawatakia Furahi Dei njema.

P.
Bila picha uzi wako hauna maana ni kama umbea wa vibarazani

Pascal Mayalla
 
Dogolas paskali hatongozagi vikongwe kama kina siye. Yy zake ni za damu mbichi ya ma mheshimiwa wa chanikiwiti
tina turner is more than 75 but still hot
paskali analijua hili,and good romance comes with experience
subiri pm tu😀
 
Mimi nimecheleweshwa na beki3. Alipoteza kadi yangu yani hapa nawaza sjui kama nitaiyona
Meena kweli mpenzi wa Mungu, na beki3, wanasaidia sana, haswa katika kuokoa majahazi, tatizo ni pale mwenye nyumba ni Mchagga halafu beki3 ni Tanga line!, mtu lazima uchelewe!, hivyo Mimi sikushangai!.
P
 
Back
Top Bottom