Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Hta mgambo hujawahi pitia una ongea na kma umekula mapera unajua jeshi ww au unajua morale ww? Ya jeshi kmaaa kimya kima wwSijui wananchi wa Russia wanaishije sasa kiuchumi. Ni dhahiri Ukrain ipo hovyo ila kwa Russia sina uhakika.
Hii ya leo inaondoa morale ya kupambana kwa askari pamoja na raia pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1] kweli morali iko chiniView attachment 2163668Sijui wananchi wa Russia wanaishije sasa kiuchumi. Ni dhahiri Ukrain ipo hovyo ila kwa Russia sina uhakika.
Hii ya leo inaondoa morale ya kupambana kwa askari pamoja na raia pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1] baba wa demokrasia hao [emoji1][emoji1]Raisi putin ndie baba wa madikteta duniani kwa sasa hata wa china hamfikii hata robo ndo wanafatia madikteta watoto kama kagame ,museveni
Naona hapa US/UK/NATO walienda kutangaza injili kwny hizo nchi Wala hawakuzivamia kabisa aisee.Unalindaje mipaka ya taifa lako kwa kuvamia nchi nyingine?!
Kumbuka Ukraine ni taifa huru kama Tanzania ilivyo. Ni Sawa Sawa na Uganda ivamie hapa kwetu kwa kisingizio cha kulinda mipaka yake
Katika post yangu umeona nimetoa neno lolote chafu? Kwani mkuu huwezi kuzungumza bila kutoa lugha kali?Hta mgambo hujawahi pitia una ongea na kma umekula mapera unajua jeshi ww au unajua morale ww? Ya jeshi kmaaa kimya kima ww