Mwanamalundi wa Kisukuma

Jamaa alikuwa na mambo mengi sana, Wajerumani walikuwa wanamshika na kumuweka ndani ila wakifunga wakiondoka wanamkuta hayupo tayari yuko nje na mambo yake, kwa story ni kwamba alikuwa na uwezo wa kutembea juu ya maji. Pia kuna sehem kuna alama zake za makalio alikaa kwenye jiwe alivyotaka akaacha alama za makalio kwenye jiwe. Pia kwenye mawe maarufu ya Mwanza Bismark Rock jamaa alizamisha nondo kuzunguka jiwe kwa mikono yake tu hadi leo nondo zipo kwenye hayo mawe.
 
Sababu ya kufa yeye ilikua ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…