ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
sheria za nchi za huko asia ni ngumu sana, hasa hiyo ya kunyonga. hata huwa sielewi kwanini mabilionea wa nchi hizo wasije kuishi hapa bongo tuwape na uraia kabisa, kwasababu nina uhakika biashara zao wanafanya kwa walau uhalali kuliko hawa mabilionea wa hapa kwetu. hata wakikosea hiyo adhabu ya kunyongwa ni kubwa mno aisee,Anaitwa truong my Lan umri ni miaka 67 Tajiri wa ki Vietnam amepatikana na hatua ya kutakatisha hela kwenye Bank moja kubwa Kwa zaidi ya miaka 11.ila nimeshindwa kujua hasa alifanya fraud kivipi Kwa maana hiyo hela aliichukua kama mikopo. Kesi hio Ilikuwa ni kubwa sana kiasi kwamba ilihusisha wanasheria 200 na mashahidi 2700. Ushahidi tu ulikuwa kwenye ma box 104 uzito wa Tani 6.inasemekana labda hio hukumu iliyotolewa ni kama kumtisha tu labda arejeshe hela.
Huwezi kuwa trilionea Tanzania , mazingira yana-limitsheria za nchi za huko asia ni ngumu sana, hasa hiyo ya kunyonga. hata huwa sielewi kwanini mabilionea wa nchi hizo wasije kuishi hapa bongo tuwape na uraia kabisa, kwasababu nina uhakika biashara zao wanafanya kwa walau uhalali kuliko hawa mabilionea wa hapa kwetu. hata wakikosea hiyo adhabu ya kunyongwa ni kubwa mno aisee,