Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

TBC hii iliyotutia aibu? Kama wameudanganya uma mpaka kupigana chini hili nalo watakuja kushikana uchawi. Ni TBC iliyosababisha mkuu wa nchi aendelee kuangalia SHILAWADU kwa kukosa vipindi vyenye maana. Waambie tumesikia Gwajima kazaa na dada wa Singida kitu ambacho sio kosa kisheria kuzaa naye, ila waambieni kutumia cheti cha mtu kujipatia ajira ni kosa la kwenda jela miaka 7 na kuendelea
 
38361ca5ec31943430d9f69a1692c894.jpg
 
Kwani hata wewe mleta Uzi kama tumekubaliana ,nikikupa mimba kunatatizo?talizo ni vyeti vya mimba kutoka Kolomije.
 
Duuh kwa mbinu hizi za kitoto ndo maana Daudi Bashite alipata zero ya fa fa zote. Makonda onesha vyeti vyako au jiuzulu. Acha ujinga.
 
Tundu Lisu kesawapia bao sasa wanahamia kwa Gwajima vyeti kwanza Gwajima baadae.Hiyo Redio inadhalilisha iitwe redio udaku.Mishahara wamelipwa?
 
Subirini awazalishe dada zenu na binti zenu halafu awatelekeze ndiyo mtamuelewa tu.
 
Kwanini hiyo redio isimuite Bashite aongelee kuhusu ishu ya vyeti? Wanazunguka tu huku wakijua chanzo cha haya yote ni nini!
 
Kama alipeleka papuchi tena kavu kavu alitegemea nini acha upigwe kitu
 
Kumbukeni kesho ni jumapili,baababya zoezi lililoshindikana la yule mpemba aliyejifanya nu mdogo wa Gwajima kushindikana,mmekuja na jipya,mmeleta changudoavwavBashite kutoka Deluxe pale magomeni,mmeaibika ,somo la Leo onyesha vyeti.
 
sisi tunataka vyeti mambo ya gwajima na watoto wake hatuyahitaji tunakaaaaa vyeti# hii vita ni ya kiroho machozi ya nini sasa?
 
Kwani mchangaji haruhusiwi kumzalisha mtu?
 
Back
Top Bottom