Ali Hassani
Member
- Oct 30, 2015
- 96
- 39
Kumbe yupo Uhuru FM! Hawa ni wale wale.Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.