Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kuna MTU eti eti nasikia alipiga simu kusifia kipindi kumbe ndo mishe ilikuwa yatangazwa watanzania waangalie ijumaa gwajima akipewa mtoto sasa nshu ilivyo buma apo ndipo bashite akasema pumbavuuuuuuu kwann amjarusha kipindi in magu voice.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Frikwensi gani tumsikilizw huyo kada

Kiufupi mimi siwezi kumtetea gwajima katika hili,
Inawezekana alikula tunda... Namshauri tu gwajima amlee huyo mtoto basi.

Ila bashite alete vyeti.
Kama yy yupo klozi sana na sizonje si achonge mchongo amtengenezee vyeti haya yaishe
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Half katelekezwa.

> Anasema yu tayari kupima DNA
> Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.


View attachment 483081
Jamani hy kadi haina jina la clinic mbona????? Wala kijiji alichotoka hyo mama,... Pia imejazwa na wino wa aina moja mwanzo hadi mwisho na ni mtu hyo hyo amejaza kadi nzima.. huu Ubashi jamani ni sheedah!..-[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Hicho cheti za kuzaliwa huyo mtoto anaedaiwa ni wa Gwajima ni cha kufoji.Mtoto anapozaliwa cheti kinajazwa na aliemzalisha au mtu mwingine ambaye alikwepo pale kazini.Mahudhurio mengine ya kila mwezi cheti si lazima kijazwe yule yule aliejaza mara ya kwanza.Wahudumu wako wengi na wanafanya kazi kwa zamu. Cheti cha mtoto huyu anaedaiwa wa Gwajima kimejazwa na mtu mmoja kuanzia mwanzo hadi mahudhurio mengine tena kwa mwandiko unaofanana.Haiwezekeni hicho cheti kiwe kimejazwa na mtu mmoja.Hakika hii habari ni ya kutunga.Watu wanauzoefu wa kufoji vyeti vya shule na sasa wamefoji na vya kliniki ya watoto.Hapa sasa itazaliwa kesi ya pili ya kufoji cheti cha mtoto.
 
Kijijini nesi,mkunga na mtoa dawa ni mmoja tu.
Toeni hadharani vyeti vya makonda ili nae awa prove wrong kama mnavyojaribu kutetea uzinzi.
Mahita aliumbuka kwa mambo kama haya
kwani huyo mama yupo kijijini kolu mi je mpaka kukawa na nurse/mkunga mmoja anaetumia pen ya aina moja miezi miwili?

Tafuteni huyo mama alikua anahuzuria wapi clinic maana kawe inafikika kiurahisi sana
 
Aisee gwajima ana raha watetezi wote hawa,yaan hata kama mtoto ni wake kiulainii nae atasingizia makonda kapanga mchezo.
Na huku umemfuata handsome nani? Hapa ishu ni ya Gwajima, Yeriko, Mtangazaji na Mzazi wewe umemuingiza Makonda.

Mkuu kuna majukwaa yanakupwaya, au labda jaribu kufikiria mara mbili kila kinachoandikwa.
 
...
Acha upuuzi
1. Mama yupo tayari kupima DNA. unsemaje?
2. Mtoto na gwajima ni copyright. Au wamefanana KWA bahati mbaya?

Shirikisha ubongo na sio unatumia kucha kufikiri
DNA unaweza pewa majibu fake Tu, maana inapimwa sehemu moja kwa walewale, so people are not that fools
 
Kuzaa ni jambo la kawaida sana..

Lakini kufoji vyeti hili sio jambo la kiungwana na ni kosa la jinai!
 
Wanamtia laana huyo mtoto huku wakijua... Bashite Mungu anakuona
KWA MWENDO HUU BALSHITE UTAKUFA BILA MTOTO NA UTAENDELEA KUPIGA NJE.....BORA GWAJIMA ANASINGIZIWA WEWE JE UNASINGIZIWA MAKARATASI TU UNALIA LIA KM MJUKUU WA RUNGWE?
TOA VYETI VYAKO TENA KUANZIA UNAZALIWA HALAFU BRO GWAJIMA YUKO TAYARI KUPIMA D.N.A

Mkuu kati ya comments zoooteee umeniona mie tu ndio nimemtaja makonda!????
Rafiki usinipangie jukwaa la kuchangia
Na huku umemfuata handsome nani? Hapa ishu ni ya Gwajima, Yeriko, Mtangazaji na Mzazi wewe umemuingiza Makonda.

Mkuu kuna majukwaa yanakupwaya, au labda jaribu kufikiria mara mbili kila kinachoandikwa.
 
Hivi vitengo vya fitna na uchonganishi wawe wanatuweka sisi ma expert bwana.forgery ni fani,ni sanaa kama sana nyengine na ina watu wake,ilihitajika kadi ambayo haijajazwa,scanner,muhuri (wakuchongwa kkoo),na kalamu nne tafauti mixa blue na nyeupe,baada ya kuichekecha hyo kadi wangei AGE,iakisi uchakavu wa kipindi cha miezi hyo iliyotumika,wangeongeza na screenshots za alleged chats baina ya huyo bi shosti na gwajima (za kupika ofcourse) tena na tarehe edited kabisa kuonyesha ni za muda mrefu.hata jinsi walivyozisambaza hiyo video walifeli.

Bottom line ni kwamba kuna mengi ambayo yangefanyika hii story ingekuwa more believeable.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…