Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani sikumaanisha hivyo.Mkuu kati ya comments zoooteee umeniona mie tu ndio nimemtaja makonda!????
Rafiki usinipangie jukwaa la kuchangia
[emoji23] [emoji23] [emoji97] [emoji97] [emoji97] [emoji97] ni mvua ya kicheko.Usije na sadaka mm nitatangulia na sadaka yako uje tu
Samahani sikumaanisha hivyo.
Naomba unisamehe.
[emoji1]Daah Bashite kila karata jokery
Hv mwanao akija kuwa wa mwisho darasani kimasomo utamlaumu mtu wakati gonjwa kubwa liko kwa mzazi wake maana wewe ni kilaza haswaaAcha upuuzi
1. Mama yupo tayari kupima DNA. unsemaje?
2. Mtoto na gwajima ni copyright. Au wamefanana KWA bahati mbaya?
Shirikisha ubongo na sio unatumia kucha kufikiri
Planned [HASHTAG]#abortive[/HASHTAG] counter attackKatika huu mkakati hata Diamond yupo