Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Askofu + pesa,hammer,helicopter amtafune mwanamke mwenye mwonekano uwoo[emoji16]!!!
Siyo rahisi tena dar kulivyo na vidada vizuurii vya kilokole.
Mimi mwenyewe hata kama nina kiu siwez mla uyo mwanamke
 
Wana Bodi,

Hivi majuzi kiongozi wet mkuu akiwa anaongea na kituo cha TV cha Clouds aliwaambia watangazaji wa kipindi cha nyuzi 360 kuwa yeye ni mpenzi wa kipindi cha SHILAWADU kinachorushwa na stesheni hiyo.

Nilikuwa najiuliza mambo mengi behind mapenzi ya chief kwa Shilawadu na leo nimepata majibu. Nitaelezea kidogo

Leo imesambaa video ya mwanamke mmoja akihojiwa na Soudy Brown, kwa maelezo yake ni kuwa amezaa na "mzee wa Ubuyu" bishop Gwajima na kutelekezwa.

leo hii pia kuna taarifa video hiyo imesambaa baada ya hasa watu wa Clouds kugoma kuirusha jana alhamis kwa sababu walikuwa hawajampata Gwajima kupata the other side of the story. Video hii inahusishwa na Makonda mzee wa vyeti feki akiwa na nia ya kuitumia SHILAWADU kumchafua Gwajibu.

Nilichongámua, mkuu wetu alifanya promo ya kipindi hiki cha Shilawadu ili kuwaandaa watu kisaikolojia wawe wanafatilia maana ingeonekana hata mkuu wetu hufatilia pia. Huu ulikuwa ni mkakati wa kuwaandaa watanzania kumuona Gwajima akiiumbu matokeo yake WAMEUMBUKA wao... Abortive Makonda counterattack.... SHILAWADUUUUUUUU
 
Acha upuuzi
1. Mama yupo tayari kupima DNA. unsemaje?
2. Mtoto na gwajima ni copyright. Au wamefanana KWA bahati mbaya?

Shirikisha ubongo na sio unatumia kucha kufikiri
Hv mwanao akija kuwa wa mwisho darasani kimasomo utamlaumu mtu wakati gonjwa kubwa liko kwa mzazi wake maana wewe ni kilaza haswaa
 
Mna kazi mtaanzisha thread weee lakini Makonda atabaki kuwaongoza nyie wala mihogo na pweza
 
Tatizo kubwa la BASHITE hana shule, pili hana uwezo wa kupata mtoto mwaka wa kumi huu sasa nadhani atakuwa mchawi au laana za Paul zinamtafuna
 
Any way,
Vyeti vya bashite viwepo kwanza,
Masuala ya watoto wa nje mbona ni ya kawaida sana???
Tena kuwa mtoto wa mchungaji ni baraka na bahati tosha!!!!

[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Yaani kinachoendelea hii movie lazima staring auwawe tu, mbinu ilotumika na kiranja mkuu kuwasifu shilawadu kumbe impact yake ndio ilikua hii...? Kafeli tunataka vyeti,
 
Bashite ataendelea kutawala hii awamu yote, hapo hakuna ubishi. Na kila siku ataendelea kuchojoa nguo za siri kali moja baada ya nyingine, mpaka wananchi wote wataona aibu kuingalia siri kali yao maana iko naked, na wakubwa wataona hata aibu kuongea na raia wao kwa matendo ya aibu ya bashite
 
Back
Top Bottom