Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Sitaweka maneno mengi sana. Mwandiko wa Bashite umejulikana ndiyo mwandiko uliotumika kuandika majina ya wauza unga. Wataalamu wa mwandiko wabaini hilo. Angalia Picha katika kadi.
23f155d84622c92f87944506e610b5ca.jpg

Hii ndiyo kadi ya kliniki aliyobuni Daud Bashite kwa mtoto wa kusingiziwa kwa Gwajima
16fb9b46c9761748180f6ae4f9415f76.jpg
.
Huu ndiyo mwandiko halisi wa Daud Bashite.
Daud Bashite wafaaaa
Unapigana vita huku umejificha chini ya nyasi
Wafaaaa.
Hasa herufi 'M' yaani mwandiko umefanana sana(siwez kusema ni ule ule, ila umefanana sana)
 
Duh mnasikitisha sana na kufoji

Hata mnaemsingizia kweli ana akili zaidi yenu basi sababu aliweza kufika hadi chuo.

Ila nyie msiotumia akili ona hata herufi ukianzia E unaona majanga, yaani aliyetaka kuandika kumsingizia Makonda as hata Shilawadu hawajausika nacho ndio amekaa kafikiria weeeeeeee kumchafua Makonda akajaribu labda copy 20 ila bado hakuweza


Ha ha haaaaaaaaaaaaaa


Hamjui kuwa mtu kufoji ni kipaji? So etu alupata 0 ndio mkata kuwaonyesha hao mbulu wenu kuwa na hicho nao wanakubaki.


JPM njoo uanze kuchapa watu viboko wanatia aibu watanzania

Makonda oyeeeeeeeee


Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa

Uongo wa div 1 students ha ha ha haaaaaaaaaa
 
Hiyo handwriting ya cheti na ya karatasi letu la wahalifu ni mtu na ndugu yake au comic sans vs old man book style? Tehe tehe tehe!
 
Anadai alikuwa muumini wake. Mtoto ni Gwajima copyright. Anadai alivyomfuata askofu akamtishia kumfunga. Mtoto anaitwa Max
Mkuu kajipangeni vizuri uko mliko... Mbona story inaonekana ya kutunga? Mtu tena mjamzito upigwe mawe tena hadharani usiende polisi au watu wasikusaidie!!
 
Ukizoea kula haramu ni kama nyama ya mtu huachi kamwe

Japo hizo M zinafanana ila siwezi kuthibitisha Bashite ndio kaandika

Huyu jamaa atagua uchizi siku sio nyingi
 
Kuna kila dalili ya baba mchungaji kuwataka wanashilawadu wakiongozwa na sudi brown kuwasilisha vyeti vyao vya kidato cha nne na vyeti vyao vya taaluma ya kishilawadu......stay tuned and dont touch the dial ....kujua yatakayojiri kanisani leo
Mmh era of reasoning....!!!! Ni wewe best friend jingalao ama naota?
 
Kazi mnayo

Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi


Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?

Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa


Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.

Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.

Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.


Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?

Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa

Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.

Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.

Waheshimiwa

Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto

Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa

Hapa kazi tu
Mwite mwenyewe ajitetee kwanini anakutuma wewe?
 
Waswahili hunena njia ya mwongo ni fupi. Kwa kuwa mwongo hudhani kuwa hakuna mtu anayejua siri yake, hivyo daima hafikirii juu ya matokeo ya njia yake fupi. Kwa sababu hii daima hufanya makosa na maneno yake hukinzana na mwisho wa siku hufedheheka na kupoteza heshima yake.
 
Hapo ni chapa ya chapa!! Lakini hata cheti chenyewe hakina jina la Kiliniki wala namba ya mtoto. Kazoea kughushi sasa anaghushi hadi vitu asivyokuwa na utaalamu navyo!!
 
Kazi mnayo

Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi


Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?

Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa


Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.

Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.

Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.


Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?

Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa

Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.

Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.

Waheshimiwa

Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto

Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa

Hapa kazi tu

unatatizo
 
Si kila ampingae Gwajima hana cheti kama kamwokota Makonda kwenye cheti si kila mtu....
Arudishe misukule tuu kuliko kujaza watu habari za vyeti
 
Gwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga

Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Wamefoji na hii kadi ya kliniki pia ujue hlf ukiwa bogus unafoji kibogus bogus kweli
 
Back
Top Bottom