Hasa herufi 'M' yaani mwandiko umefanana sana(siwez kusema ni ule ule, ila umefanana sana)Sitaweka maneno mengi sana. Mwandiko wa Bashite umejulikana ndiyo mwandiko uliotumika kuandika majina ya wauza unga. Wataalamu wa mwandiko wabaini hilo. Angalia Picha katika kadi.
Hii ndiyo kadi ya kliniki aliyobuni Daud Bashite kwa mtoto wa kusingiziwa kwa Gwajima
.
Huu ndiyo mwandiko halisi wa Daud Bashite.
Daud Bashite wafaaaa
Unapigana vita huku umejificha chini ya nyasi
Wafaaaa.
Mkuu kajipangeni vizuri uko mliko... Mbona story inaonekana ya kutunga? Mtu tena mjamzito upigwe mawe tena hadharani usiende polisi au watu wasikusaidie!!Anadai alikuwa muumini wake. Mtoto ni Gwajima copyright. Anadai alivyomfuata askofu akamtishia kumfunga. Mtoto anaitwa Max
Mmh era of reasoning....!!!! Ni wewe best friend jingalao ama naota?Kuna kila dalili ya baba mchungaji kuwataka wanashilawadu wakiongozwa na sudi brown kuwasilisha vyeti vyao vya kidato cha nne na vyeti vyao vya taaluma ya kishilawadu......stay tuned and dont touch the dial ....kujua yatakayojiri kanisani leo
Mwite mwenyewe ajitetee kwanini anakutuma wewe?Kazi mnayo
Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi
Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?
Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa
Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.
Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.
Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.
Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?
Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa
Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.
Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.
Waheshimiwa
Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto
Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa
Hapa kazi tu
Jingalao anashuka kiwango... Alikuwa mwanajeshi hivi Sasa ni mgamboMmh era of reasoning....!!!! Ni wewe best friend jingalao ama naota?
Kazi mnayo
Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi
Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?
Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa
Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.
Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.
Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.
Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?
Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa
Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.
Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.
Waheshimiwa
Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto
Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa
Hapa kazi tu
hilo nalo nenoManesi wengi ni wanawake,tulitaraji uwe mwandiko wa kike
Wamefoji na hii kadi ya kliniki pia ujue hlf ukiwa bogus unafoji kibogus bogus kweliGwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga
Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Akifika tu utaona anashangilia eti...... Makonda Oyeeeeeeeeecocochanel njoo huku