Enzi za kina pilato.... Asulubiwe balabala!!Aliyekuwa na vyeti feki vya Taaluma aibuka na Kadi Feki ya Kiliniki Kosa juu ya Kosa.
Ukitaka kujisafisha sio kwa urahisi hivo.
Kadi haina
Jina la Kiliniki
Namba ya mtoto
Jina la Nesi
Mahali anapoishi mtoto
Muhuri
Namba ya simu ya wazazi.
Nk.
Je adhabu yake ni nini kisheria kufoji mambo ya Afya?
Nimemvulia kofia mange kibokoHii kitu imetolewa kwa Mange Kimambi
Hapa zitaunganishwa dot zoooteee... na ataaibika tu....NATAMANI APIGWE RISASI HADHARANI.Manesi wengi ni wanawake,tulitaraji uwe mwandiko wa kike
Hii Itakula kwa bashite, kumbe bashite bado mtoto mdogo kabisa, sizonje anazidi kupata aibuMpaka sasa nimesha jihakikishia kuwa yule Mama alitumika kumchafua Askofu Gwajima. Sasa watu kama hawa wasiachwe hivi hivi. Huyu atumike kama fundisho kwa wengine wenye Tabia za kutumika na kuchafua watu wenye heshima zao.
Gwajima peleka huyu Mama mahkamani. Wewe ni mtu mkubwa sana. Mpige hata fine ya kama 1bn aliyemtuma atamlipia tu. Akishindwa mweke ndani hata miaka 12.
Hawezi dhalilisha kanisa hivi tumuache bure. Yani hapa kacheza na imani za watu.
Mwanamke yule hana hata aibu. Et tulifanya mapenzi Madhabauni. Yani hta Madhabau hyajui.
mwandiko wa madakatri huu sema ndio hivyo tena mwenzetu kichwani ni zero brain... kweli Mungu hakupii kila kituSitaweka maneno mengi sana. Mwandiko wa Bashite umejulikana ndiyo mwandiko uliotumika kuandika majina ya wauza unga. Wataalamu wa mwandiko wabaini hilo. Angalia Picha katika kadi.
Hii ndiyo kadi ya kliniki aliyobuni Daud Bashite kwa mtoto wa kusingiziwa kwa Gwajima
.
Huu ndiyo mwandiko halisi wa Daud Bashite.
Daud Bashite wafaaaa
Unapigana vita huku umejificha chini ya nyasi
Wafaaaa.
Baada ya kuwajibishwa tunatakaMpaka sasa nimesha jihakikishia kuwa yule Mama alitumika kumchafua Askofu Gwajima. Sasa watu kama hawa wasiachwe hivi hivi. Huyu atumike kama fundisho kwa wengine wenye Tabia za kutumika na kuchafua watu wenye heshima zao.
Gwajima peleka huyu Mama mahkamani. Wewe ni mtu mkubwa sana. Mpige hata fine ya kama 1bn aliyemtuma atamlipia tu. Akishindwa mweke ndani hata miaka 12.
Hawezi dhalilisha kanisa hivi tumuache bure. Yani hapa kacheza na imani za watu.
Mwanamke yule hana hata aibu. Et tulifanya mapenzi Madhabauni. Yani hta Madhabau hyajui.
Poa makonda ila bado dawa inaingia ushauri mpeni ata mange pesa atakayotaka akuache bila mange hii vita ingekuwa imekwisha kitambo sanaKazi mnayo
Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi
Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?
Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa
Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.
Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.
Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.
Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?
Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa
Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.
Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.
Waheshimiwa
Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto
Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa
Hapa kazi tu
Tumuombee sana huyu dada....sio hao wapbavu wasio na maslahi yoyote kwa taifa wanaowaomba watz wawaombeeNimemvulia kofia mange kiboko
Poa poa mkuuMtoa mada tunakuomba utoe credit kwa kubwa la maadaui Mange Kimambi.
Ni kawaida watoto wa kike wengi wanaandika mwandiko mzuri.Kumbe ana mwandiko mzuri hivyo?
Mkuu tulia uandike kiswahili kinachoeleweka, acha kutetemeka asubuhi yote hiiDuh mnasikitisha sana na kufoji
Hata mnaemsingizia kweli ana akili zaidi yenu basi sababu aliweza kufika hadi chuo.
Ila nyie msiotumia akili ona hata herufi ukianzia E unaona majanga, yaani aliyetaka kuandika kumsingizia Makonda as hata Shilawadu hawajausika nacho ndio amekaa kafikiria weeeeeeee kumchafua Makonda akajaribu labda copy 20 ila bado hakuweza
Ha ha haaaaaaaaaaaaaa
Hamjui kuwa mtu kufoji ni kipaji? So etu alupata 0 ndio mkata kuwaonyesha hao mbulu wenu kuwa na hicho nao wanakubaki.
JPM njoo uanze kuchapa watu viboko wanatia aibu watanzania
Makonda oyeeeeeeeee
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa
Uongo wa div 1 students ha ha ha haaaaaaaaaa
Yule Mtoto Akiwekwa Side to side na Bashite pia Watafanana 100% Ingawa wanasema Nanilii ni Hermaphrodite! Anyway!
Mwandiko huo Nimeupitia na Kama mtu mwenye Utaalamu Mduchu wa Forensic,
1)Tazama Sita zake 6 na 3 zake kwenye list feki ya Wauza Madawa Kisha Linganisha na Kwenye Cheti alipoweka Tarehe.
2)Tazama anavyo form "M" Zake katika Majina Nu 61 MMI na Pale alivyoandika Max na Mathias Kwenye cheti
3) Natafuta List Nzima Maana hii haina yenye Number "7" Iwe in 17 au 27 au 7 nachotafuta Mimi ni Saba zake, Zina Mkato usio Rasmi kati kati. Tazama Tarehe 7 zake.
4) Upenzi wake wa Kutumia Herufi Kubwa, Ki psychologia ni Ishara na nguvu za ziada za kusisitiza Jambo Katika Maandishi, Waongo na Criminals wengi wanapenda Capital Letters hata Pale zisipohitajika sana! Wanapenda Pia Wino wa Rangi.
5) Mwisho aningekuwa na Karatasi zenyewe Original Ningeangalia Pressure ya Ni kiasi gani anavyokandamiza Kalamu, Kila mtu ni Unique.
Masikini Bashite Safari hii sio Miguu ameingiza akichwa Kwenye Finish Mill ya Kusaga Saruji Maana Anajioongezea kuaminisha Watanzania Kuwa. Ni Bingwa wa Kugushi
Naaaa bado, mtaandika sana hadi aonyeshe vyeti huyo gasho wenuKazi mnayo
Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi
Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?
Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa
Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.
Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.
Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.
Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?
Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa
Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.
Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.
Waheshimiwa
Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto
Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa
Hapa kazi tu
Chapa hilo toto jinga!!Wewe ndio mburulaazz kubwaaaaaaazzz jingaaazzzz!! Kichwa yako imejaa bashiteeezzz!!!, utafaidika nn kwa kutetea upuuzi huuu wa Makonda, amefoji Cheti, amekula rushwa kutoka kwa aliowatuhumu kuwa wanauza madawa leo tena anaandaa scenario fake ya kumkashifu Gwajima!!!! Jingaaazzzz kabisa nyie, mnapigana vita huku mmejificha kwenye shamba la maharage mkazani mko msituni!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunataka aweke cheti hadharani hatuwezi kuongozwa na mjinga sisi!!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Na jela inamsubili [emoji357][emoji357][emoji357][emoji357]
umepovuka tuuu na ma mis tiping yako hata ulivyoandika vinatia uvivu kusoma!Kazi mnayo
Hivi kabisa huyo Kiongozi mnayemuita jambazi baada ya Vyeti then Magari now ujambazi
Na akili zake timamu afanye haya mliokaa na kutunga?
Ha ha haaaaaaa ajue kupewa rushwa akajikalia kimya wasimpate kuyajua, leo mmetokea wataalamu wa kila taaluma eti nyie ndio mnajua kukagua ha ha haaaaaaaa
Sasa hiyo karatasi hujui hata mbwa anaweza kaa as imezagaa mtandaoni akaandika kukopi mwandiko wake, sababu ndivyo imefanywa.
Ujinga mlionao ni hamko smart, nasema tena vitu mnavyomzushia Mh. Makonda hamko smart kabisaaaaaaa yaani mnatia aibu kuwa watanzania.
Ni kama hamjaenda shule hao wa ngada wanawabeba tu na mnafata mkumbo, mnasikitisha.
Ok kaa chini jifikirie why ufanywe mbululaz?
Eti leo mnamsingizia amefoji vyeti akapita madaraja yote, then today aje aandike kati ya clinic aache yale yamuhimu.....Haaaaaa kwani hamjui kufoji na kupita katika issue ni kutumia akili? So why nyie msio na div 0 ndio mnachemka hivi? Ha ha haaaaaa
Kesho njooni na chu*pi zake na mkewe wanaongwa, na ndala mpaka viatu hata kitanda.
Uongo wenu haujaenda shule kabisaaaaaaaaaa, ni vitukooooooooo.
Waheshimiwa
Makonda oyeeeee, JPM ongeza moto
Nyoosheni vituko vya nchi hiii kabisa
Hapa kazi tu