Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Enzi za kina pilato.... Asulubiwe balabala!!
 
Me nasubiri dada yake gwajima aamke (mange) maana hii show ya leo si ya kukosa
 
Yule Mtoto Akiwekwa Side to side na Bashite pia Watafanana 100% Ingawa wanasema Nanilii ni Hermaphrodite! Anyway!

Mwandiko huo Nimeupitia na Kama mtu mwenye Utaalamu Mduchu wa Forensic,

1)Tazama Sita zake 6 na 3 zake kwenye list feki ya Wauza Madawa Kisha Linganisha na Kwenye Cheti alipoweka Tarehe.
2)Tazama anavyo form "M" Zake katika Majina Nu 61 MMI na Pale alivyoandika Max na Mathias Kwenye cheti
3) Natafuta List Nzima Maana hii haina yenye Number "7" Iwe in 17 au 27 au 7 nachotafuta Mimi ni Saba zake, Zina Mkato usio Rasmi kati kati. Tazama Tarehe 7 zake. Well hii hapa


Ili asije Kubisha Nyingine ni hii, Now what Business Mkuu wa Mkoa has in Kujaza Vyeti vya Clinic is he a Mkunga? Teli miii! Jinai hii.



4) Upenzi wake wa Kutumia Herufi Kubwa, Ki psychologia ni Ishara na nguvu za ziada za kusisitiza Jambo Katika Maandishi, Waongo na Criminals wengi wanapenda Capital Letters hata Pale zisipohitajika sana! Wanapenda Pia Wino wa Rangi.
5) Mwisho aningekuwa na Karatasi zenyewe Original Ningeangalia Pressure ya Ni kiasi gani anavyokandamiza Kalamu, Kila mtu ni Unique.

Masikini Bashite Safari hii sio Miguu ameingiza akichwa Kwenye Finish Mill ya Kusaga Saruji Maana Anajioongezea kuaminisha Watanzania Kuwa. Ni Bingwa wa Kugushi
 
Hii Itakula kwa bashite, kumbe bashite bado mtoto mdogo kabisa, sizonje anazidi kupata aibu
 
mwandiko wa madakatri huu sema ndio hivyo tena mwenzetu kichwani ni zero brain... kweli Mungu hakupii kila kitu
 
Baada ya kuwajibishwa tunataka
[emoji116]
 
Poa makonda ila bado dawa inaingia ushauri mpeni ata mange pesa atakayotaka akuache bila mange hii vita ingekuwa imekwisha kitambo sana
 
Mkuu tulia uandike kiswahili kinachoeleweka, acha kutetemeka asubuhi yote hii
 
Unacheti bado unataka kugeuza akili kubwa kuwa ndogo
 
 
Mwache aendeleee na drama drama zake uyo bashite
 
Naaaa bado, mtaandika sana hadi aonyeshe vyeti huyo gasho wenu
 
Chapa hilo toto jinga!!
 
umepovuka tuuu na ma mis tiping yako hata ulivyoandika vinatia uvivu kusoma!
si tunataka kuona walio karibu na hiyo move wanasemaje we nae unatujazia sever bure!
Kotama wee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…