Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

DNA ikigoma kumhusisha Gwajima
Atasema Nini ?
Jinai ya vyeti haiwezi futwa na Mambo ya mapenzi
Wamekosea kutengeneza clip huyo Dada angeambiwa aseme alibakwa na Gwajima ili iwe jinai na ifunike jinai ya vyeti kwa kuwa kubaka ni 30 yrs wakati jinai ya Bashite aka Paul ni 7yrs
Anapima DNA kwa gharama ya nani? Kama wametengeneza hiyo deal, maana yake hata matokeo ya DNA watayatengeneza. Ila yeyote anayehusika na biashara hiyo anajitengenezea mwisho mbaya.
 
Duh! Huyu dada amejifunika uso kweli au Yericko ana makengeza!!

Kuna video inazunguka mtaani ikimuonyesha binti aliyebeba mtoto akihojiwa na mtu aliyefunika uso wake,

Nimefanya uchunguzi binafsi nakujiridhisha video hii niyakughushi kama vilivyo vyeti vya Daudi Bashite.

Bila kuangalia maudhui yaliyokwenye video, mimi naangalia uhalali wa video na Kadi iliyowekwa hadharani kwamba ni kadi ya kliniki ya mtoto aliyebebwa na mama huyu.

Kuna mambo makuu mawili ambayo kitaalamu kwamjibu wa Sheria ya uchunguzi hasa Forensic Psychology,

Jambo la kwanza ili ugundue kuwa mtu unayezunguma naye au mtu anayezungumza mbele yako ni muongo, utayaona macho yake,

Kuna uongo wakulishwa yani unasisitizwa useme hivi:, na uongo wakutengeza mwenyewe, yani kipaji cha uongo mtu anachozaliwa nacho, hapa kwenye macho hutoa majibu mawili.

Uongo wa kulishwa: Mtu wa aona hiyo utamtambua wakati akiongea mboni za macho yake zile nyeupe zitakuwa zikionekana zote kanakwamba anatumia nguvu hii husababishwa na misuri ya macho kuuvutika...

Uongo wa Kutengeneza mwenyewe: Mtu huyu macho yake huwa hayatazami mbele, huangalia pembeni, Hurusha mikono mara kwa mara aongeapo, hupenda sana kujiapiza.

Kwadhana hiyo sasa nawapeni tafakuri kwa video hiyo muamue huyo binti na kijana anayemhoji aliyeamua kujifunika uso.

Lakini kadi iliyowekwa mitandaoni ikiambatana na video hii kwa lugha rahisi imeivuruga video na kudhihirisha kuwa video hiyo ni feki.

Kuna mapungufu mengi ndani ya kadi hii yanayofuta uhalali wake. Hii kadi mmeshindwa hata kuijaza?

1. Jina la hospital aliyozaliwa,

2. Jina la daktari au mkunga aliyemzalisha.

3. Mhahali anapoishi.

4. Jina la mjumbe/mwenyekiti wa mtaa...

5. Hata muhuri wa kuchonga kariakoo tu au sahihi yakughushi imewashinda?

6. Kingine mtoto amezaliwa tar 3/12/2016 Polio tar 16/01/2017, sindano nyingine 19/01/2017. Tarehe zote alizohudhuria alimkuta daktari/muuguzi yule yule ambaye katika kadi hii hajatajwa kwa jina, ikatumika kalamu ile ile.

7. Kitabibu Mtoto aliyezaliwa tarehe 3 hawezi kuja kupata chanjo ya BCG tarehe 16. Lakini kabla hajapata OPV 0, kaja kupata OPV 1. Hilo halipo hivyo kitabibu

Mkitaka kuwa waongo msisahau vitu vidogovidogo hivi::::::::::::::::::

Niliwahi kutoa afa kwa vijana wa ccm kwamba mataputapu yenu mitandaoni muwe mnaniletea nahariri ndio nawaruhusu mlete mitandanoni

Na Yericko Nyerere


Source: Yerico Nyerere Facebook Page

.
a80aee1c729ccd2de071e340762e0f74.jpg

Click to expand...
Duh! Huyu dada amejifunika uso kweli au Yericko ana makengeza!!

Yaani wewe naye huna tofauti na liyeandika kadi, pamoja na kumquote Yeriko bado umeshindwa kueelewa alichoandika? HIKI ndo alichoandika yeye, ndo maana mnafeli hata mitihani ya darasa la nne hata kusoma sentensi moja na kuielewa ni shida?

Kuna video inazunguka mtaani ikimuonyesha binti aliyebeba mtoto akihojiwa na mtu aliyefunika uso wake,
 
Gwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga

Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Kama alitanua mwenyewe na hatujawahi sikia kubakwa,hakuna kosa kabisa.Sasa Bashite kweli ni zero,badala ya yeye kujisafisha swala la ushoga na uhanithi ,anataka kuudhihirishia ulimwengu kwamba Gwajima ni dume la ukweli!
 
Huyu binti ni yatima mzaliwa wa Gumanga Kiomboi Singida. Alikwenda kutafuta msaada wa kiroho ndipo akakutwa na mambo hayo.
Kwani yatima haruhusiwi kupigwa m
Waulize waliokuwa wanarusha kipindi. Hata hivyo nashukuru viroba vimepigwa marufuku
We kweli nyenyere,.sema dawa yako we ni kusinywa na buti la mgambo ugandie kwenye soli.
 
Mie naona bora gwajima kamtia mimba wengine wanalawiti vijana wetu....! Kumtia mimba mtu kwa hakika si kosa la jinai....kutekeleza mtoto ni jambo ambalo mama akikaza uzi kidogo hata bila mahakama .....matumizi atapata...si ajabu kwa mtumishi wa mungu kuteleza...aliteleza daudi...samson...suleiman ndo ije iwe kwa gwajima....this is not in the public interest.....what is the public interest ni pale wale maafisa wa serikali wa pale karbu na sayansi mitaa ile pale.....wale jamaa wanaboa kishenz wamenyamazia kitu ambacho ni public interest kabsa....criminal offence kabsa....inaboa sana....but poa....!

Nb: gwajima tafta mmama mwingine...tia mimba...hizo zitakuwa kesi zako na Mungu siye hazituhusu kabsaaa
Na wànaume tunatakiwa tuwatie mimba wamama kweli maana idadi yao ni kubwa kuliko sisi madume. Katika kila Watz 10, wanawake ni 8 na wanaume ni 2. Kila mwanaume akioa, wanabakia wanawake 6. Hao 6 huduma ya "ngono" lazima itoke kwa hao wanaume 2. Na uzao wao utatokana na hao. Ndiyo maana Mfalme Suleiman akawa na wamama 1000(wake na masuria)
 
Na wànaume tunatakiwa tuwatie mimba wamama kweli maana idadi yao ni kubwa kuliko sisi madume. Katika kila Watz 10, wanawake ni 8 na wanaume ni 2. Kila mwanaume akioa, wanabakia wanawake 6. Hao 6 huduma ya "ngono" lazima itoke kwa hao wanaume 2. Na uzao wao utatokana na hao. Ndiyo maana Mfalme Suleiman akawa na wamama 1000(wake na masuria)
Moja ya sifa ya ukweli....ni lazma uwe mchungu!
 
Mkuu kajipangeni vizuri uko mliko... Mbona story inaonekana ya kutunga? Mtu tena mjamzito upigwe mawe tena hadharani usiende polisi au watu wasikusaidie!!
Mimi niliripoti kadri nilivyokuwa naisikia redioni ili wanajamvi mjue, aisee watu wakanigeuka eti mimi ndio bashite. Watu wana mahaba mabaya sana
 

Ahsante, niliiona ila si unajua wanaanza kuandika na baadae kutengeneza mengine ya kutunga. Kama sasa wameongeza hadi cheti na kujaribu ku copy mwandiko wa RC Makonda wanasema mwandiko wake.

Tabu ni kwamba hawa wanaodanganyana na kudai wao wasomi, ni hawana akili za kudanganya yaani hata CIA sijui FBI hawawdzi wapa kazi.

Bali wanaweza kuwapa kazi wale wanaofoji vyeti kiukweli na kuvitumia hadi leo bila kukamatwa, I mean wa ukweli sio hii wanayomsingizia sababu kagusa maslahi yao.


Watanzania wanatia aibu wananikasirisha maneno mengi hawajui kutunga uongo wa hata kunidanganya mimi.

Imagine mtu wanaodau eti alifoji byeti, akamlipa mtu kununua jina leo akili yake super ya kufanya hayo yote imepotea anaenda kuandika cheti cha klinic bila details muhimu ha ha haaaaaaaaaa


Wanaowaamini kweli wamepatwa, mimi napita

Oops nilisahau

Tupo kwenye yeye ni jambazi now alibebana na wanajeshi sijui mapolisi 8 na mabubduki kama wameenda vitani then clip inatoka hakuna wala kusimamishwa ameingi vizuri kwa shughuli zilizompeleka, na lazima awe na askari ni RC anayesakwa na wengi kulindwa muhimu.

Ok walete basi hata audio ya maongezi haraka, kabla hawajakaa kutengeneza.


Wanatia aibu kabisaa waongo eti walio na akili ila ni mambululaz grade one.

Inasikitisha nchi yetu ipo hivi

About time Mh. JPM akaze kamba haswaaaaaaa

Si kwa upuuzi huu

Watu washikishwe adabu.

Haya jamani sorry yaani wananiquote kama vile nitawaongezea vocha za data ha ha haaaaaa so nakua na alerts nyingi kwa mamia.

Kaa salama
 
unatatizo

Lipi haswa

Ha ha aaaaa

Na hiyo clip unaikubali kuwa ametenda waliyoandika

Imetolewa kumsafisha mkuu wa mkoa na porojo zenu na sio mengine.

Pale kaenda na sio mara ya kwanza wala ya mwisho.

Na bado mtanyooka tu mkijua kuwa mnabebwa na watakao yao yawe na kuwafanya wengi mambulu

Makonda oyeeeee
 
Leo mkuu umeandika kwa hasira hadi umetisha.

Nimeanza kuboreka na wanaojiita wasomi kutojua jinsi ya kudanganya yaani mabomu haswaaaa


Na watu bado nao hawajui hata kuchambu nao hao

Ni naisikitikia nchi yangu hii kizaidi kuwa na vilaza wengi na wanaojiita wasomi.

Natamani niwaone niwazabue mabao wajitambue

Waache kudanganya kama uongo wao ni bomu grade 0***
 

Nahisi hizi ni chuki na come back za Bashite. Kama aliweza kugushi vyeti, hashindwi kulipa mwanamke aseme mimi nina mtoto wa Gwajima!
 
Wewe ndio mburulaazz kubwaaaaaaazzz jingaaazzzz!! Kichwa yako imejaa bashiteeezzz!!!, utafaidika nn kwa kutetea upuuzi huuu wa Makonda, amefoji Cheti, amekula rushwa kutoka kwa aliowatuhumu kuwa wanauza madawa leo tena anaandaa scenario fake ya kumkashifu Gwajima!!!! Jingaaazzzz kabisa nyie, mnapigana vita huku mmejificha kwenye shamba la maharage mkazani mko msituni!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunataka aweke cheti hadharani hatuwezi kuongozwa na mjinga sisi!!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Na jela inamsubili [emoji357][emoji357][emoji357][emoji357]


Weka proof ya hayo yote uliyoyaandika

Au sabahu unayasoma

Sasa wewe nawe ni wale wale fata mikumbo


Na hao wanaowavuta waambie watumie akili kudanganya hata CIA waavute kuwafanyia kazi.

Fata mkumbo fata porojo

Na bado mtaisoma namba hadi mtie cheche mkitembelea miguuu


Makonda oyeeeeeee
 
Back
Top Bottom