Duu ebana eeh noma sana kumbe dunia ina mengi 😳huyo mtoto ni hatari na nusu,ni muigiza picha za wakubwa,yani kwa kifupi ni hivi mkuu,hawa ma super star wa kizungu unaowaona huwa wanachukuliwa sana na ma don wa middle east au ma dictator mfano mtoto wa Saddam aliitwa uday hussein na mtoto wa Gaddafi wamewatumia sana
Kwani mapato yanayopatikana Vatican yanaenda wapi?Halafu mapato yanayopatikana yaende wapi?
Umesikia Vatican watu wanaenda kurusha mawe?Kwani mapato yanayopatikana Vatican yanaenda wapi?
Akili zao ndogo. . hapo hapo sponcer wao ni USA ..ndio utaona kwamba kichwani hazimoAnamkaribisha vipi Mia, wakati wamemfungulia mwanamuziki wao wa kike anayeimba rap?