Mwanamfalme Mohamed bin Salman kukutana na Mia Khalifa mwezi wa 5

Duu ebana eeh noma sana kumbe dunia ina mengi 😳
 
Anamkaribisha vipi Mia, wakati wamemfungulia mwanamuziki wao wa kike anayeimba rap?
Akili zao ndogo. . hapo hapo sponcer wao ni USA ..ndio utaona kwamba kichwani hazimo
 
Sizani kama kuna majadiriano zaid ya biadhara ya K tu Apo.. MiA khakifa nA ayo mambo lol
 
Huyu MBS asa kinachomtesa nini? Anataka kumla Mia Khalifa? Saivi MK ameacha porn au hajui hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…