Mwanamfalme Mohamed bin Salman kukutana na Mia Khalifa mwezi wa 5

Mwanamfalme Mohamed bin Salman kukutana na Mia Khalifa mwezi wa 5

huyo mtoto ni hatari na nusu,ni muigiza picha za wakubwa,yani kwa kifupi ni hivi mkuu,hawa ma super star wa kizungu unaowaona huwa wanachukuliwa sana na ma don wa middle east au ma dictator mfano mtoto wa Saddam aliitwa uday hussein na mtoto wa Gaddafi wamewatumia sana
Duu ebana eeh noma sana kumbe dunia ina mengi 😳
 
Sizani kama kuna majadiriano zaid ya biadhara ya K tu Apo.. MiA khakifa nA ayo mambo lol
 
Huyu MBS asa kinachomtesa nini? Anataka kumla Mia Khalifa? Saivi MK ameacha porn au hajui hilo?
 
Back
Top Bottom