Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2817][emoji2817][emoji2817][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uzi huu bwana..naona pipo zimeamua kumjadili mia kiundani zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mia khalifa na bella bellz ni mabata,
Tena mabata maji,chapa chapa ndembe ndembe
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa bwana,,wenye bella wenu mm siwabishii[emoji16][emoji23][emoji2]Acha kumfananisha bella bellz na takataka
Professional Adult actress ndio taaluma gani hiyo?
Vatican haijihudumii na kujilinda?Vatican pope alipewa kama hongo na Mussolini.
with due respect asee Mecca n Medina zibaki serikalini tu wana uwezo wa kuzihudumia na kuzilinda
Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohamed bin Salman katika kuufanya ufalme huo kuwa wa kisasa (modernization) amamua kumkaribisha entertainer mwanadada wa Marekani mwenye asili ya Mashariki ya kati, Mia Khalifa.
Pamoja na mambo mengine watajadili kuhusu njia kadhaa za kuurudisha sura nzuri ya ufalme huo kwenye jumuia ya kimataifa hasa baada ya kifo cha mwandishi Jamal Khashoggi
View attachment 1368640View attachment 1368642
Ziara hiyo imepokewa kwa hisia tofauti na wananchi wa Saudi Arabia huku wengine wakifurahi na wengine wakichukuzwa na ujio huo.
Wanaounga mkono ujio huo wamedai ni ujinga kuruhu kuuza kitimoto na pombe ndani ya ufalme huo halafu wamkataze Mia Khalifa kuingia nchini humo.
Waambie hao wanaoamini kuwa anatoa sana ndogo.Ipo moja aliwahi kujaribu lakini hawakuendelea hahaha
Mkutano wao utafanyika faragha?
Halafu mapato yanayopatikana yaende wapi?Saudia inatakiwa iruhusu makka na Madina zijitawale Kama ilivyo Vatican
Mambo gani yake akiwa faragha😱lazima iwe faragha[emoji1] si unajua mambo ya mia khalifa
Sent from my iPhone using JamiiForums
huyo mtoto ni hatari na nusu,ni muigiza picha za wakubwa,yani kwa kifupi ni hivi mkuu,hawa ma super star wa kizungu unaowaona huwa wanachukuliwa sana na ma don wa middle east au ma dictator mfano mtoto wa Saddam aliitwa uday hussein na mtoto wa Gaddafi wamewatumia sanaMambo gani yake akiwa faragha😱