Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Huyu dogo hafanani na kakake kabisa naona kama mturuki fulani hapa mama alichepuka
 

HUHh! [emoji15]

Yaani mpaka Police wanamchukia hivi! [emoji28] [emoji23]
Imebidi nishangae na kucheka kwa pamoja jinsi walivyomwacha mtaroni! [emoji3]

Aseeh mwanamke ana roho ya Fisi huyu, sio kwa tamaa hizi. Kuvunja ndoa ya mtu, put yourself at their place so you can be in history books is one thing.
Wanting £250M on top of all that because it didn't work out?!, is a total different thing.

There's special place in Hell for women like Camilla "Balls" Parker! [emoji35]
 

Kwa kweli!..
 
Diana alipewa talaka na akaendelea kuishi Kwa malkia. Malkia siyo mzazi mzuri
 


Naona Meghan ataanza kujifunza kupigia goti royals wakati wa kusalimia, unlike Americans.
Halafu kumbe hao royals wengine hapo juu inabidi pia kuwapigia, mie nikafikiri goti linapigwa kwa Queen, Prince Philip na Prince Charles pekee!

Kumbe hata hao mawifi gubu Beatrice na Eugenia itabidi kuwapigia goti kama Harry hatakuwa hayupo nae at that time?!, kazi ipo..



Naona kuna kufundishwa jinsi ya kula, kunywa, kushika vyombo, mpaka pochi




6 Royal Etiquette Lessons Meghan Markle Must Master If She Becomes a Princess
 
Haaa haaa....sugu la goti linamhusu!

Ila nimemfatilia Meghan sana kuna kitu nimegundua! Yaani ni haamini kwa liliotokea kwenye maisha yake ( kuolewa na harry)... Halafu kitu kingine ana unafiki fulani hivi wa kujipendekeza na kujifanya mpole, full kudeka haaaaa haaaaa shikamoo Meghan kwa unafiki huu, ataweza kukopi tuu, na atadumu na Harry kwa navyoona!

Ila kipunguze kucheka cheka na interruption zisizokuwa na mpango!
 
Hivi hii habari inatuhusu nini wa TZ wa kawaida !
 
Kamwaribiaga mwenzake vibaya masikini!

Hiyo 1980's Di alikuwa mtoto kabisa hajui chochote sijui 18 or 19 sasa si mtoto huyu!

Wakienda kwenye ile michezo yao sijui polo match Diana na Charles, mara huyo shangingi Camilla kashatia timu, sasa Diana hajui kinachoendelea kumbe watu ni wapenzi!

Siku Diana anajua mkanda mzima na bipolar ilimpata hapo hapo, Di anakwambia yule Charles alikuwa akipigiwa simu labda ndo wanakula sebuleni, Charles ataacha kula mbio na simu chooni or bafuni wanaongea mambo yao ya mapenzi, mara huyo kawasha Gari kwa Camilla na siku hiyo harudi home!

Dada wa watu kapitia kipindi kigumu angali mdogo asee!
 
Eh eh harry Mnyamwezi kitamboo

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

 
Ha ha ha! And most likely ndio maana "wamemvumilia"; otherwise, wangewapumzisha wote kama walivyofanya kwa mama yake na hawara yake.
yani but hii ya malkia kukubali kirahisi rahisi hivi!
THT KUNA
Sijaelewa kwenye vichupi...vya nani? Nani anavujisha?
hukusikiaga saga lake la picha zake yuko half naked na vimwana!
kajipindia zake haifai!
 
Hahaha, si ndio Snowhite ali suggest huko nyuma, kuwa Harry angewapelekea cheusi mangara kabsa! [emoji1]

Sipati picha hilo zagazaga lingekuwaje, angepotezwa au Harry wangem disown kabisa...lol!
mi nakwambia hii familia!hiii!
TUIONAGE TU NA KOFIA ZAO PANA KAMA MATURUBAI YA PARKING LAKIIIIIIIIINI!
ehehehehhe
 
BUT NAONA KABISA KUNA SIKU HII ARISTOCHRATIC LIFE WATAITUPILIA MBALI!
ni kama hawapendi tena!
ni kama wamechoka flan tu!
halafu wote kuanzia baba na wanae!
kwa Charles sidhani hata anaona ni big deal kuwa king!
issue kwa Camilla! ehehehhe that witch!
William ni kama anajikuta ameshakuwa groomed kuwa hivyo but kama hana la kufanya vile!
huyu mwenzangu na mie yeye ndo to hell mtajijua na ufalme wenu!kwanza I wasn't born to be a king either a prince!
BASI DOOOOOH!
labda Catherine anaweza flan kuleta tumaini kwa kajukuu nako sijui babake atakalandua tu!
AHAHAHAHHAHAHHA YANI THESE THREE ARE PAIN IN THE QUEEN'S HEART IF NOT ASS!
 
Ukute kaishachukua vinasaba kwa Charles kisirisiri na James Hewitt?!!!
hahahahahhaha James aliwahenyesha hawa!
hivi yupogu!
Di nae ahahhahahhahaa MI NAKWAMBIA SI AJABU KASHAJUA SIO UKOO WAKE NDO MANA ANAPAMANISHA TU!WAPATE NEUROSIS BASI!
 
Kuna jamaa mwalimu wa farasi wa late diana alidhaniwa kuwa mzazi wa huyu bwana harusi
ila jamaa wa farasi alikataa akasema alidate na diana baada ya dogo kuzaliwa;
nahisi walipima hata vinasaba;
 
damu nyeusi yenyewe iko mbali sana ova tegeta nyuki na mbagala kilungule
Haiko mbali ktk ufalme, kiasili koo za kifalme huwa wanaooana wenyewe toka kwa noble class wenzao, kufikia kwa mixed race, hili si jambo dogo kabisa.
 
hahahahahhaha James aliwahenyesha hawa!
hivi yupogu!
Di nae ahahhahahhahaa MI NAKWAMBIA SI AJABU KASHAJUA SIO UKOO WAKE NDO MANA ANAPAMANISHA TU!WAPATE NEUROSIS BASI!
James yupo japo kajizeekea..... Ila kafanana na harry kopiraiti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…