Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Kumbee!Alicia ndo amezaa na switzbeat?
 
Nilifikiri Bibi harusi atakuja na msafara Wa magari kama harusi zetu za uswahilini lkn kaletwa na gari NNE tu afu hazijapambwa hata kidogo ,ila ndo nimeanza kuziona leo sijui za vita ya pili ya dunia wazungu bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…