Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle


Brothers in arms Harry kaka yeke William wakiwasili.


Bibi Elizabeth II na babu Phillip wakiwasili kanisani mapema leo.


Duchess of Cambridge, Katie nae akiwasili kushuhudia harusi ya shemeji yake Prince Harry.

Mdogo wake Kate aitwae Pippa Middleton nae akiwasili na mumewe james Mathews wakiwasili kanisani hapo.


Mama yake Meghan Doria Ragland akiwa ametulia kanisani.
 
Nasikia Harry alikuwa amelewa akawapa mchapo washikaji kuwa Meghan ana papuchi tamu balaa![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Once you go black, you'll never go back! [emoji28]
 
Sasa ndio wakati muafaka wa kutia saini za ushahidi kwenye vyeti vya ndoa.

Can't wait kuona wanandoa hawa wanaangusha ule wino.
 
Jinsi kiba alivyomuwah asiseme ikawaje wakaonana na kuoana picha inakuja baada ya kuonana kwenye ndege amina akaenda omba kuunganishwa nae so mwanamke katongoza
Nilihisi kitu kama hicho

Coz niliona Musa anamuuliza hilo swali, nani alianza kutongoza mwenzake!

Kiba akamuwahi asiseme!

Hivi bidada mbona anajibebisha, mjanja yule!
 
Aaaah wewe utakua unaishi nao haki ya Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…