Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Most likely! Mama yake alivyokuwa mrembo na smart huyu anatia aibu. Katika wanawake wote wa Kiingereza amekosa kabisa mke hadi aende Marekani tena demu kamzidi umri?
huyo "" hajatulia toka enzi za ukuaji wake mkuj"" kamsumbua mnoo bimkubwa wake "" jitu la kupenda bata na Watoto Wazuri .drama mwanzo mwisho "" hajatulia hata kidogo""
 
Naona Harry anaweka History nyingine ya kuoa commoner lakini Meghan ni to the core.
Manake ni Mmarekani, divorcee halafu ana damu nyeusi.
Royal family wamepatikana haswaa! [emoji3]
hao huwa hawashindwi mkuu"" muda simrefu "" majasusi wao wataingia kazini na kumtoa roho huyo M16 sio watu wamchezo mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…