Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Huyo Charles alikuwa na Camilla na mademu wengine kabla ya Diana!

Ukoo wa kifalme wakamleta Di akiwa bikra kana miaka 19 kakaolewa na huyo Charles, so obvious baada ya kumvunja bikra na kutosheka na papuchi, akaendelea kukulana na Camilla, so Camilla akawa anapambana ili aolewe na Charles, so drama mpaka Di akajua kuwa hapendwi!

Akaomba talaka akasepa, ndo akaanza kutembea na huyo mwarabu tajiri Dodi, ikabidi wammalize!
Jamani mi mpaka nalia mweeeee yaan mtu akaomba talaka akaondoka,kuanza maisha yake hawakutaka kabisa awepo dunia hiii na hiyo yote mipango ya Elizabeth kibibi hiko kitaenda motoni
 
Huyu Charles sijui ni yeye au jamaa anaefanana nae niliona movie ya wasouth aliigiza kwa jina hilo hilo itakua inaitwa yankie zulu. Yupo cul tu keshachoka kusubiria ufalme miaka yote mpaka uzeen
Hata mi nataka wamruke, hiyo inamuuma sana Camilla ila kwa Charles hana hata habaree na hata hatakii!
 
Aaaaaahhh,

Ndiyo. kumbe wanaendelea pande zote namba 0713 na kawaida Duuuh .
Shetani amehamia kwao.
hao hauwezi kuwa tenganisha na Rothschild ...na hiyo ni moja ya Sera zao "" tatizo ulimwengu haujui jinsi " haya mataifa yenye nguvu yanavyofanya kazi "" katika Sera zao"" waweza kukuta Jamaa sio "gay" lakini kwakuwa anaushswishi duniani ametumika kwaajili ya kampeni za kuifanya dunia Ione kuwa maswala ya ushoga ni issue za kawaida
 
Tena wanajua kuigiza haswaaa
hatari sana hao watu " waweza kukuta hata marhemu D ...walikuwa wanapiga nae soga vizuri tu " na kumwambia kuwa wana msupport " katika mahusiano yake mapya...kumbe wanajipnga kumtoa kafara"" daaahh yule Dada nilikuwaga nampenda mnoo aisee..."" dahh
 
Bora tubakie bongo tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaan watu wamelia na kuhuzunika 96 wamesahau wewe unalia leo
Jamani mi mpaka nalia mweeeee yaan mtu akaomba talaka akaondoka,kuanza maisha yake hawakutaka kabisa awepo dunia hiii na hiyo yote mipango ya Elizabeth kibibi hiko kitaenda motoni
 
Back
Top Bottom