You never know, before his mother's death labda alimtonya Harry kuhusu ule mpango wa kuuliwa!harry was dianas boy since then!
nahs ana vitu against hii familia kuhusu mamake!
Sijaelewa kwenye vichupi...vya nani? Nani anavujisha?NAKWAMBIA YULE BIBI itakuwa naapandisha bp kila siku!
MAANA amewaaamulia hasa!
very likely anavujisha mwenyewe picha zake za vichupi!
na hivi anajua hatakuwa mfalme!
hata kakake akifa!
ANA NINI CHA KUPOTEZA!
anawapelekesha tu!
But hata Meghan anatokea katika noble family ukiangalia historia ya babu zake kwa upande wa baba... Soma hiNilisoma mahali kuwa Diana akitoka kwenye aristocrast family na katika historia babuvyake alimsaidia King katika vita in medieval era. Kujua hilo aliapa hata piga magoti kwa royal family.
Hiki kiburi ndiyo kilisababisha matatizo makubwa.
Yes haa haaa fairy tale stories.....ila Diana maskini hakuwa na bahati na mapenzi huyo Dodi mwenyewe alikuwa anamrekodi mipono halafu alikuwa cocaine addicted....siku Diana angejifanya kumfumania huyo playboy angekiona cha moto!
Mmmmh....ila ile familia ina mambo mapana!
Yaani Charles ana umalaya wa damu...mboga saba toto la mama, halijishughulishi, chapombe mbaya,halifanyi mazoezi unafikiri genye zitamuacha salama?
Huyo Camilla sio kwamba she's so special, Charles ana mademu kibao tuu sema huyu aliamua kukomaa nae tuu!
ni kama anaiadhibu royal family!
hata sishangai kuwaletea chotara!
nilijua ataoa black kabisa bibi mtu kichaa kimpande!
ANTAKUWA AMEJIFUNZA AU KAAMUA TU KUJIHAMI!
as anajua kichaa cha huyu dogo !
Anawapaje presha humo ndani?
Queen full kudata na anamuogopa Harry mbaya manake akiamua kuwafyatukia jinsi walivyomuua mamake , wote vichwa chini wanaogopa yasifike Dailmail[emoji23] [emoji23]
Halafu hata huwa hajali yaani ni msela kupitiliza
Queen kaumia mnoo...Hii familia si mchezo kwa drama zake, wanazidi hata familia za kawaida na wana qualify kabisa kufanya reality show...lol
Mboga saba toto la mama! [emoji28]
Hivi Queen hakuzua kizaza kwenye habari za Charles kupasishwa U King?
Manake alivyo mama's boy nahisi mama yake asingekubali.
Wee unamaanisha cheusi mangara?....haaa haaa yaani ni ile kitendo cha Harry kuonekana na black pure huyo demu angepotezwa mazima! Hata maiti isingeonekanaHahah!, jamani angewapelekea mweusi 100% kukawa na ngozi nyeusi ndani ya Buckingham Palace, bibi wa watu mbona angekufa kwa pressure kabla ya siku zake? [emoji3]
Maskini.. Harry hata kwenye zile clip za msiba aliumia kuliko mtu yeyote pale!Wakati wa msiba wa Daina vile walivyokuwa wanatembea nyuma wanasindikiza jeneza Charles, watoto wake na Spencer uncle wao, I think ni tradition lakini inasemwa kuwa dogo Harry alitaka ku boycott maana issue ya kifo cha mama yake ilikuwa nzito.
Ikabidi uncle wao Spencer aseme kusindikiza ili atembee nae ndio dogo akakubali.
Harry kizaazaa haswa!
Queen kaumia mnoo...
Yaaan Malkia kwa Charles humwambii kitu! First born tena ( japo kimeo[emoji23] [emoji23] )
Sema kuwa mfalme kusema ukweli Chalz hauwezi hata tone, sema libibi Camilla full kumpelekesha, bibi anautaka umalikia kwa nguvu zote, na bifu na huyo Catherine anaona wanamzibia tuu!
Moyo wa binadamu ni kichaka, mtoto wake wa kiume alikuwa kwenye live tv show aksema hata step father wangu anapenda hii. Mmh ujiko gani huo.Mh!, Camilla kugandana hivyo na Charles mpaka kuvunja ndoa usikute hii ni sababu alitaka.
Kuja kuwa future Queen na kuwepo kwenye history.
Wee unamaanisha cheusi mangara?....haaa haaa yaani ni ile kitendo cha Harry kuonekana na black pure huyo demu angepotezwa mazima! Hata maiti isingeonekana
Hawa akina Charles, William na Harry wana mademu mablack wanatembea nao sema ndo ile kuwekwa kwenye buti la gari[emoji23] [emoji23]
Moyo wa binadamu ni kichaka, mtoto wake wa kiume alikuwa kwenye live tv show aksema hata step father wangu anapenda hii. Mmh ujiko gani huo.
Si unajua akili zetu sisi wanawake!Mh!, Camilla kugandana hivyo na Charles mpaka kuvunja ndoa usikute hii ni sababu alitaka.
Kuja kuwa future Queen na kuwepo kwenye history.
Si unajua akili zetu sisi wanawake!
Camilla inamuuma hii kunyimwa umalkia, rumours kitaa ni anataka talaka kwa nguvu zote, ili atleast aambulie £250M
Kwani wewe ni nani ktk race Mkuu? Wa ajabu sana, sorry. Kuna speech inaitwa "for the woman I love" Kuhusu divorce itakufundisha kitu, ila kama ni wa race ya kiafrika, hudhani Huu ni ushindi na uthibitisho wa uwepo wa nguvu zilizomzidi Mwanadamu humu duniani?Sio wazungu tu; hata mimi wa Mchambawima sijaipenda kabisa ndio maana nikauliza amekosa kabisa demu "bora" wa Kiingereza hadi akaokote masanii ya kimarekani tena machotara?
"Rottweiler" anataka vyote!...the Hell!!!!
Jamani huyu mwanamke, Khaa!
Yaani haikutosha kuvunja ndoa ya mwenzake?
Time is a good judge, nadhani ipo siku tu itafika, tena black pure toka Tandale, sema kuonana tu ndo iwe shida. Lilianza na King Edward III, mapenzi hayana formula. Ila pia tunajifunza kwamba, binadamu sote ni sawa. Tuachane na mipropaganda yao, eti IQ sijui mi nini, wakati wengine kwa upendo wao walisumbuliwa na kuzibiwa mengi.Hahah!, jamani angewapelekea mweusi 100% kukawa na ngozi nyeusi ndani ya Buckingham Palace, bibi wa watu mbona angekufa kwa pressure kabla ya siku zake? [emoji3]