Mwanamitindo wa kimataifa, Millen Magese aonekana videoni mpya

Carbondioxide

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
733
Reaction score
195
Mwanamitindo wa Kimataifa kutoka Tanzania Millen Magese aonekana kwa video mpya ya wimbo wa Mafikizolo feat Diamond Platnumz uitwao Color of Africa.
 
Itakuwa ya moto sana hii..
Mafikizolo ft. Diamondplatnumz
 
Alikiba ft domo coming soon tupo kwenye maandalizi ya mwisho

Haitakuwa nzuri hata kidogo.. Japo haipo na sidhani kama itakuja kutokea.. Hii mambo ya wasanii kukutana kwa sababu ya majina na si wimbo unaowahitaji haifai, ndio maana collable za wasanii wakikutana na wasanii wakubwa huwa zinakuwa za kawaida tu

Ulisikia wimbo wa Tanzania, uliotungwa kipindi cha uchaguzi alikiba na diamond wakiwa ndani??? diamond mbaaaaaaaaaaaaaya, embu utafute uone alivyowagalaza wenzake
 
Ushabiki sasa huo sio reality
 
Ushabiki sasa huo sio reality

Ila ikija kutokea nitafurahi sana mkuu.. nawakubali sana hawa watu.. Sema itapendeza kama wakija kupatana na kutengeneza dude, kabla yake watengeneze mazingira ya bifu zittttto, ili ngoma ije ikiki kupindukia hata views tutavunja rekodi ya adele
 
Huyo Magese ndio amekua mrembo??..yaani wamekosa warembo kbs??
 
Hujafa hujaumbika

Eti hujafa hujaumbika nami nakuambia ujana maji ya moto!!!!! mamiss wengi hawataki kuzaa na njia wazazotumia kuzuia mimba wanazijua wenyewe ...ikifika mahali wanashindwa kubeba mimba wanataka kila mtu awahurumie ,,kama si upuuzi kitu gani?? sasa huyo magese na wema wamejitangaza tayari tusubiri Jokate na wenzake soon!!..yule wa mengi hatujui gharama iliyotumika mpaka akabeba mimba uzeeni..nyie endeleeni tu
 
kalaghabao unachosema labda ni sahihi lkn kumbuka c kila uwazacho uwaze kwa sauti hivi..Mungu pekee ndiye msemaji a mwisho... Wewe ni nani unayesemea mwisho wa mtu? Hawajafa bado na vizaz wanavyo ! kama sara alizaa kwny 90yrs why not wema,millen?Mungu yuko,msamaha upo.
 
Alikiba ft domo coming soon tupo kwenye maandalizi ya mwisho
Mungu epushia mbali hii collabo
Isije kuwa utumbo ka wa nagharamia watu walikamiana sauti mpk ikawa kero
 
Ila ikija kutokea nitafurahi sana mkuu.. nawakubali sana hawa watu.. Sema itapendeza kama wakija kupatana na kutengeneza dude, kabla yake watengeneze mazingira ya bifu zittttto, ili ngoma ije ikiki kupindukia hata views tutavunja rekodi ya adele
Kidingi umekosea tutavunja record ya gangnam style ya PSY
 
Last edited by a moderator:
 

Aisee!
Sawa god-junior
 
Huyu mtoto mbaaaaaaaaya aaaah nimeona kipande ya hii kitu ni mwisho wa matatizo, inachezeka balaa, colours of Africa....

Afu dizain kama hizi za kushirikishwa zitampa sana airtime kufanya tusubiri kwa muda zaidi jiwe lingine
-Aka ft. Diamond
-Mafikizolo ft. Diamond
-AY ft. Diamond
Muda wowote mizigo inaachiwa.. Nimeona na bob junior nae kabla mwaka haujaisha aachie ngoma kamshirikisha Diamond, bado tena Q chief ft. diamond duuuuuuuuh

Aaah je UTANIPENDAGA....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…