Mwanamke afariki baada ya kufanya mapenzi nje Ndoa

Ehe asante sana kwa ufafanuzi wako, sasa hiyo coital hypertention ndo nini kwa maelezo ya undani zaidi. Je dawa yake au kinga ni nini! ntashukuru sana kwa ufafanuo huo.

Kwa kifupi ni hivi
An unusual case of acute headache and hypertension occurring at the height of sexual excitement during the period between childbirth and the return of the uterus to its normal size, it is approximate six-week period lasting from childbirth to the return of normal uterine size.

Dawa yake au kinga ni kutofanya mapenzi ndani ya mda mfupi namna hiyo baada ya mwanamke kujifungua
 

Hii hadithi isiyokuwa na kichwa, umiliki, wala chanzo imetungwa na mimi kijiweni kwetu, imeshafanikiwa kusambaa, wow!

Watanzania wanaamini chochote, ukiwaambia weka hela kwenye hiki chungu cheusi ziache zitazaa watoto watakubali bila hata kukuuliza wewe nani.
 
woow thats very informative... I didnt know that before..but now it make sense why muslim women are not allowed to have intercourse till they complete 40 days after childbirth...thanks Freetown
 
Ni lini wake zetu watatulia?[/QUOTE]

Siku mtakapo wapenda, kuwawajali na kuwaheshimu na kuwaonyesha kuwa mnawapenda, kuwajali na kuwaheshimu
 
 
Maana mshahara wa dhambi ni mauti na apandacho mtu ndicho akivunacho
 
Inatia huruma sana. Hiyo jamaa ilikuwa haina mke?
 
 
mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.


Jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?
wake zetu watatulia siku wanaume tukiacha kutongoza wake za watu.
 
mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.


Jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?


wanawake kwa wanaume wanawaka tamaa ya uzinzi.
Suluhu ni kumrudia mungu.
 
dahhh mnanikumbusha MC wangu Lema kule moshi...Mama anatoa maelezo polisi anasema tulifanya raundi ya kwanza ikawa safi raundi ya pili nikabadili style nikapiga magoti ndo nikasikia mwenzangu alalalamika nikajua ni utamu kumbe anakata roho...hahaaaaaa.RIP mama yangu mlokole wa hapo KIBAHA...
 
Ni lini wake zetu watatulia?

Siku mtakapo wapenda, kuwawajali na kuwaheshimu na kuwaonyesha kuwa mnawapenda, kuwajali na kuwaheshimu[/QUOTE]

Jamani mimi siku zote naamini mpaka mwanamke atakapoweza kusema NO ndipo mambo kama haya yataisha!:hug:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…