Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Bila shaka hizi likes utakuwa umepewa na wadada,kiufupi kwenye Uzi wa Jamaa hapo Hamna Mke.Hivi kabisa unapengea kamasi katika kitambaa halafu unataka mtoto wa watu afue huo uchafu wako?!
Mambo mengine ni kukosa akili, kukosa busara na kutokuwa na adabu kwa mpenzi wako. Kwanza kamasi huwa hatupengi kwenye leso, unatumia tissue, ukipenga unatupa.
Pili usipende kumfanya mwenza wako afanye vitu vya kipuuzi ili tu approve kuwa anakupenda wewe. Huo ni utoto na kukosa akili.
Habari ndugu zangu,
Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam .
Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa alimueleza sisi ni wapenzi unashindwaje kufua kitambaa changu cha mafua na unajua sisi tutaishi mda mrefu je siku mwenzio mtu kati yetu akijinyea kwa sababu ya ugonjwa itakuaje kitambaa cha mafua tu kinakutoa imani mwanamke alimjibu am sory bby ila sintoweza kukifua.
Wakuuu naombeni mnishauri nimshauri jamaa yangu kama huyu anastahili kuwa mke asante
Bila shaka hizi likes utakuwa umepewa na wadada,kiufupi kwenye Uzi wa Jamaa hapo Hamna Mke.
Siku Jamaa akiumwa kiasi cha kujinyea,ajiandae kuhudumiwa na ndugu zake.
Deedee.. khaaa. Nkiki ki laaluu? Ngimpara ukofi naiweeeOdee kuchuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi? Mapenzi My fooot? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuuu bado hamjajua maana ya mapenzi hata mbona kitu.cha kawaida sana
Dada umeolewa tayari au unaye boyfriend??Wanaume hawana moyo wa kuvumilia na uhakika angekua huyo dada anaumwa sizan kama hii mada ata ingeletwa jukwaani ila kwa sababu ni mwanaume.....
Ndio amfulishe kamasi???????We jamaa nisikilize mimi hao waliokwisha kutangulia wame coment pumba,
Kwa kifupi mwananmke ni msaidiz wa mwanaume kwa hio ukiona kuna mambo mke ana kugomea ujue sio mke hyo tena mluke kbsaa, siku zote ukiona mke anatka 50 kwa 50 au kuna vitu simple km ivo anakugomea mteme mapema
Kuna jamaa nimepanga nae yan mke wake ni km malaika kwa matendo jamaa akitoka kazin anafikia kibarazan mke anakuja anamvua viatu ana mletea ndala za kishindia yan kwa jinsi ana mu handle mme wake ni km kaokota dhahabu jamaa sio mkali yupo simple, sasa we unadhani ndoa km hii itavunjiaka kirahisi?
Nowadays wanawake wanataka 50 kwa 50 ina coast sana dat y unaona single mother weng siku hzi mwambie jamaa ako akimbie huo moto kbsa
Yaani wewe na huyu rafikiyako bure kabisa ndo mkaona mje kuomba ushauri wa kitambaa cha mafya hapa JF? Shenzi mwili woteHabari ndugu zangu,
Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam .
Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa alimueleza sisi ni wapenzi unashindwaje kufua kitambaa changu cha mafua na unajua sisi tutaishi mda mrefu je siku mwenzio mtu kati yetu akijinyea kwa sababu ya ugonjwa itakuaje kitambaa cha mafua tu kinakutoa imani mwanamke alimjibu am sory bby ila sintoweza kukifua.
Wakuuu naombeni mnishauri nimshauri jamaa yangu kama huyu anastahili kuwa mke asante