Mwanamke ahukumiwa kwenda jela miezi 6 kwa kutumia Kshs 27,140 zilizotumwa kwake kimakosa kupitia M Pesa

Mwanamke ahukumiwa kwenda jela miezi 6 kwa kutumia Kshs 27,140 zilizotumwa kwake kimakosa kupitia M Pesa

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
1541728.jpg



Mwnamke mmoja amehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kutumia kiasi cha Kshs. 27,140 kilichotumwa kwenye kwenye akaunti yake ya M Pesa kimakosa

Mwaname huyo aliyefahamika kwa jina la Margaret Njeri alishindwa kulipa faini ya Kshs. 40,000 kwa kosa hilo na alipelekwa gereza la Embu kutumikia adhabu yake hiyo

Njeri alituhumiwa kuiba fedha hiyo aliyotumiwa na Richard Mbui kimakosa mnamo Disemba 7

Mbui aliomba kurudishiwa fedha hiyo lakini Njeri alizima simu yake ili asipatikane

Njeri alikiri kosa hilo na kusema alikuwa na majukumu aliyshindwa kulipia na ndio ilifanya atumie fedha hizo

Aliomba kulipa deni hilo kwa mafungu ya Kshs 2,000 kila mwezi lakini jaji wa kesi hiyo akasema itachukua muda mrefu mno

========================================================

Mbui asked her to return the money but Njeri went on to withdraw and use the cash and switched off her phone to avoid being traced.

She pleaded guilty, saying she had some pending commitments and she used the money on it.


The accused pleaded with resident magistrate Jean Ndegeri to be allowed to pay it back in installments of Sh2,000 a month.

But Ndegeri said such an arrangement would take too long.

She said the complainant will be reimbursed from the Sh40,000 fine.

A woman has been jailed for six months for using Sh27,140 that was accidentally sent to her Mpesa account.

Margaret Njeri was unable to pay the Sh40,000 fine for the offence and was taken to Embu prison to start her sentence.

Source: The Star
 
Hawa mahakimu bana waache kuchapa kitu cha malawi. Hadi na bahati ya mtende pia wanaigeuza shubiri? Ingieleweka kama wangemwitisha bond ya 13,570 Kshs. wagawane nusu nusu, hizo hela za huyo lofa aliyezituma kimakosa. Sasa hizo 40,000 Kshs wanamuitisha maskini wa wenyewe ni za nini? Wakora hao.
 
Bora ije mijitu inajifanya mijuaji juzi nlikosea kutuma 2500 tshs uyo jamaa nlomtumia namuambia arudishe ananiuliza uko wapi nikamjib maandishi akajibu yeye yupo dodoma niifuate huko
 
Bora ije mijitu inajifanya mijuaji juzi nlikosea kutuma 2500 tshs uyo jamaa nlomtumia namuambia arudishe ananiuliza uko wapi nikamjib maandishi akajibu yeye yupo dodoma niifuate huko
Ahhha hhaa
 
Bora ije mijitu inajifanya mijuaji juzi nlikosea kutuma 2500 tshs uyo jamaa nlomtumia namuambia arudishe ananiuliza uko wapi nikamjib maandishi akajibu yeye yupo dodoma niifuate huko
Mkuu uliifuata?
 
Back
Top Bottom