tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,308
Bora nijikubalii tuu nilivyooooi
Umeona shostiiiii!!! tujikubali tu na shapeless zetu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora nijikubalii tuu nilivyooooi
Umeona shostiiiii!!! tujikubali tu na shapeless zetu..
Bora nijikubalii tuu nilivyooooi
Usiporidhika na kumshukuru Mungu kwa jinsi alivyo kuumba matokeo yake ndio hayo... Pole yake..!
kwasababu u-mzuri ndiyo maana unaona bora ujikubali?
wewe unakubaliwa ndiyo maana hutaki makuu , huyu anadai alikuwa anachekwa toka zamani kuwa ni flat screen..
Makalio hana kazi zaidi ya kuyaangalia tu, kitu chembamba ndiyo kitamu wangu....unaisikilizia mpaka kwenye kichogo, mbwembwe za makalio nikujaziana haja kubwa pasipo sababu, kwa hiyo kama kuna wanaume wanaoyataka si wote ni baadhi tu na wana mambo yaoWanaume ndo chanzo make siku hizi kila mwanaume anataka dem mwenye makalio
tuyatoe wapi sasa kama hatuna lol...
Sina uzurii wowote ila tu najiaminii hayupo ambae hachekwiii
lol angevaa ch*pi zenye kuongeza makalio ili asichekwealikuwa amepigwa pasi ka screen za LED na alikuwa amechoka kuchekwa tangu utotoni............
msiwe mnacheka wenzenu jamani , huyu anadai alikuwa anachekwa toka utotoni kuwa nyuma yupo flat.
lol angevaa ch*pi zenye kuongeza makalio ili asichekwe
Ametaka kuwaridhisha binaadam ona sasa hatma yake
Hivi hizo chupi za Silkon hazina madhara?
ajali ni ajali tu.........
Pole dada