Ndugu unaposhindwa kutetea hoja yako unaweza kukaa kimya tu badala ya matumizi ya maneno kama haya.
mbona na yeye kashindwa kutetea hoja yake na kuleta habari za pedi hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu unaposhindwa kutetea hoja yako unaweza kukaa kimya tu badala ya matumizi ya maneno kama haya.
Asante Mkuu; u r a great thinker!
I am not offended coz kisimi ni umbile la mwanamke ambaye pia ni mama yako! Pia kimeumbwa na Mungu, weye huna uwezo hata wa kuumba unywele!
heri hata ungekuwa nacho basi, kwa mawazo yako hayo nadhani kimeishaliwa na kutu hadi kimeisha kabisa!
Still not offended! U can do better than that!
congratulations! umefaulu mtihani, hongera sana kwa ukomavu uliouonyesha
sory for a bad language,
respect sana!
U r welcome! Now l give u respect, honestly l was not offended ila nilikudharau! Enjoy the rest of weekend!
wengi wakikutana na wacchana wakiwa ata nguo ya ndan ikionekana kdogo 2 watasema anatembea uchi bt kwa mvulana akitembea amevaa mlegezo n kawaida y???????????????????
Ni maua kwa wanaume maana mnatufanye tuonekane 'bomba' na ni zaidi ya maua kama mwanamke ametulia anakuwa kama tanzanite-luluMaua kwa nani? Wanawake ni zaidi ya maua! Tuna akili, uwezo utashi na hatuishi kwa ajili ya wanaume!
Wanaovaa mlegezo yaani they are not worth hata kujadiliwa... kwa wadada kuonesha chupi mara nyingi ni kazi cause the way chupi zimetengenezwa ni kazi kuonekana compared na za guys...
Hatuko sawa usilazimishe. Haya toa jibu, mwanaume atembee kifua wazi na mwanamke atembee kifua wazi nani kakaa uchi?
Mkuu,wengi wakikutana na wacchana wakiwa ata nguo ya ndan ikionekana kdogo 2 watasema anatembea uchi bt kwa mvulana akitembea amevaa mlegezo n kawaida y???????????????????
Kweli kabisa mkuuMkuu,
mimi nadhani umeleta malalamiko badala ya mada hilo ni moja, la pili, hakuna mahali popote uma wa watz unawaunga mkono watoto/wavulana/wanaume wanaovaa milegezo! wengi hudharauliwa na kuonekana kama mateja, au wahuni fulani wasio na determination yoyote katika maisha na jamii! Lakini pia inabidi ukubali tofauti za kimaumbile zina nafasi kubwa sana katika maisha ya binadamu. Kwa mfano wanaume wanaofanya kazi za kupakua na kupakia mizigo mara ukipita kwenye masoko makubwa utawakuta bussy wakiwa vifua wazi na hilo halina mashiko! Hebu mdada ajaribu kukaa kifua wazi katikati ya soko utaona akina mama wakimfunika nguo haraka na wataamini kuwa hayuko normal. So suala hapa si mfumo jike wala mfumo dume suala ni uhalisia wa maisha yetu toka uumbaji.