Mwanamke akifanya haya jua tayari amekuzimikia

Mwanamke akifanya haya jua tayari amekuzimikia

Sio kweli hii
hivi kwa AKILI YAKO wewe unajiona UNAPENDWA na huyo ULOYENAE?ngoja hcho KIBARUA KIOTE NYASI,,,ndy utaona MAPENZI YA KWL....PESA ndy MBOLEA YA MAPENZI MKUU,,,hakuna MAPENZI YA MATESO kama UKIWA HUNA PESA na mtoto UMEMPENDA,,,na hakuna raha ya mapnz kama UKIWA NA PESA,,,mtoto kila anachotamani UNAMPA,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kwa AKILI YAKO wewe unajiona UNAPENDWA na huyo ULOYENAE?ngoja hcho KIBARUA KIOTE NYASI,,,ndy utaona MAPENZI YA KWL....PESA ndy MBOLEA YA MAPENZI MKUU,,,hakuna MAPENZI YA MATESO kama UKIWA HUNA PESA na mtoto UMEMPENDA,,,na hakuna raha ya mapnz kama UKIWA NA PESA,,,mtoto kila anachotamani UNAMPA,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Comment bora kabisa kwa mwaka 2019 zimebaki siku chache sana mwaka kuisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vyote utaviona pochi ikiwa imejaa,zaidi ya hapo utaambiwa unanuka jasho.
 
MONEY,POWER and RESPECT used to be a hit song back in 1996s in America and for the Hip Hop fans

Signal you showed above will apper to any women/girls if you have money,power and respect.
Money brings power and power brings respect.
 
Katika pita za hapa na pale nimeona wanaume wengi wakipoteza fursa kutokana na kushindwa kusoma lugha za mwili za wanawake. Forget about kung’ata nyasi. Leo ntawashushi baadhi baadhi ya lugha za wanawake ambazo wanaume wengi wanapuuzia au wanashindwa kuzielewa.

1. Tabasam
Ukimwongelesha mwanamke akakujibu/ asikujibu ila akatabasam....jua anataka muendele kwaiyo unaeza round the bush afu badae ukatia swaga zako za namba.

2.Kushika nywele
Ukiwa unaonge na mwanamke na akawa anashika nywele zake zaidi ya mara moja jua una weza tia swaga hapo

3.Kujipitisha/ kupenda kuonekana(attention)
Akikuona anapenda kujipitisha mbele zako mara nyingi.....mda mwingine anaongeza manjonjo zaidi.

Mengine wadau ongezeeni......[emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
 
If you only knew how cunning and manipulative we are, you wouldn't pretend to read us like an open book. 😁😁😁😁😁
Nilipigwa Hadi leo sijakaa sawa!Nguvu kubwa sana nimetumia kumbe ni hasara kuu!!
 
Back
Top Bottom