hivi kwa AKILI YAKO wewe unajiona UNAPENDWA na huyo ULOYENAE?ngoja hcho KIBARUA KIOTE NYASI,,,ndy utaona MAPENZI YA KWL....PESA ndy MBOLEA YA MAPENZI MKUU,,,hakuna MAPENZI YA MATESO kama UKIWA HUNA PESA na mtoto UMEMPENDA,,,na hakuna raha ya mapnz kama UKIWA NA PESA,,,mtoto kila anachotamani UNAMPA,,,Sio kweli hii
Comment bora kabisa kwa mwaka 2019 zimebaki siku chache sana mwaka kuisha!hivi kwa AKILI YAKO wewe unajiona UNAPENDWA na huyo ULOYENAE?ngoja hcho KIBARUA KIOTE NYASI,,,ndy utaona MAPENZI YA KWL....PESA ndy MBOLEA YA MAPENZI MKUU,,,hakuna MAPENZI YA MATESO kama UKIWA HUNA PESA na mtoto UMEMPENDA,,,na hakuna raha ya mapnz kama UKIWA NA PESA,,,mtoto kila anachotamani UNAMPA,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Money brings power and power brings respect.MONEY,POWER and RESPECT used to be a hit song back in 1996s in America and for the Hip Hop fans
Signal you showed above will apper to any women/girls if you have money,power and respect.
Umefurahia comment au umeunga mkono hoja?π
HahahaKatika pita za hapa na pale nimeona wanaume wengi wakipoteza fursa kutokana na kushindwa kusoma lugha za mwili za wanawake. Forget about kungβata nyasi. Leo ntawashushi baadhi baadhi ya lugha za wanawake ambazo wanaume wengi wanapuuzia au wanashindwa kuzielewa.
1. Tabasam
Ukimwongelesha mwanamke akakujibu/ asikujibu ila akatabasam....jua anataka muendele kwaiyo unaeza round the bush afu badae ukatia swaga zako za namba.
2.Kushika nywele
Ukiwa unaonge na mwanamke na akawa anashika nywele zake zaidi ya mara moja jua una weza tia swaga hapo
3.Kujipitisha/ kupenda kuonekana(attention)
Akikuona anapenda kujipitisha mbele zako mara nyingi.....mda mwingine anaongeza manjonjo zaidi.
Mengine wadau ongezeeni......[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
WoooMoney brings power and power brings respect.
Nilipigwa Hadi leo sijakaa sawa!Nguvu kubwa sana nimetumia kumbe ni hasara kuu!!If you only knew how cunning and manipulative we are, you wouldn't pretend to read us like an open book. πππππ