Mwanamke akipendeza anamfurahisha nani?


WOS,

Kama unagundua baadaye kuwa Mr hana confidence unafanyaje? Utaamua kumbuluza tu na yeye anyamaze?

Nashauri ukigundua hivyo tena ukiwa umechelewa ama uteme mzigo au ukubali kuishi na hicho kilema.
 
WOS,

Kama unagundua baadaye kuwa Mr hana confidence unafanyaje? Utaamua kumbuluza tu na yeye anyamaze?

Nashauri ukigundua hivyo tena ukiwa umechelewa ama uteme mzigo au ukubali kuishi na hicho kilema.

DC
Uzuri haya mambo hayaji ghafla. Huja taratibu..na hapo utakuwa na muda wa kuamua unyoe au usuke! Kama mchumba kila mara hana confidence... utakuja kulia ukishakuwa wife!
 
kumbe hii ni kwa wanandoa tu....DC mi sikujua bana!!

i will consider my hubby ntakapofunga ndoa......

for now najikonsider mwenyewe

Bht,

Kama bado upo upo tutakuongelea ili iweje? Wewe ni full kujiachia. Na kama jamaa anaanza kuingiza timu wakati huo anakuja na masharti hata ukitema mzigo poa tu. Ila hukumu ikishapita (kama ilivyomtokea mshikaji - G ) basi hapo huna ujanja!
 
Mnapokuwa wawili - mke na mume au wapenzi kuna kitu kinaitwa maridhiano katika mapenzi.Hata mimi kuna wakati naweza kumpa Mr ujiko wa kunichagulia anavyotaka nivae tunapoenda matembezi ya pamoja.. au nikishavaa namuuliza umependa? akisema hapana ..nitabadili hadi aridhike maana nimempa uhuru wa kunichagulia siku hiyo....
na yeye hufanya hivyo hivyo.Ukiangalia scenerio hizi ni tofauti na hii tuliyowekewa hapa tujadili.Hapa hatuangalii kwenda kuwapendezesha watu wa nje bali sisi wenyewe wahusika.

Mtu mzima awe mwanamke au mwanaume anatkiwa awe na uhuru mradi haupelekei kuvunja amani au heshima.
 

Well said WoS. mi wa kwangu napenaga apendeze hata kama sipo,, Niajiamini.
 

Umemaliza kila kitu. Ngoja nikatafute lunch. Mkishakuwa wawili siyo mmoja tena na lazima kutakuwa na mambo mengi ambayo huwezi kupata au kufanya kila kitu kama ulivyopenda 100%. Kwangu mimi huo ndio msingi wa kila kitu tunachofanya leo na hata tutakachofanya kesho n.k.
 
Mimi huwa napendeza kwa faida zangu binafsi,wala si kwaajili ya kumfurahisha mtu.
 

si ndio sucrifices hizo kwenye ndoa!!!!
kila mmoja lazima kuna vijimambo ataviacha ili amridhishe mwenzake!!
 

hapa hata mimi niko gizani maana mamaa hapa huwa tukiwa na mtoko wiki nzima anahangaika avae nini ili apendeze zaidi,yaani atafanya hata shoping tena wakati nguo ndani zipo za kutosha kabisa na bado hata akinunua hizo mpya anaweza asizivae vilevile kwa kutoridhika nazo,na mimi huwa akiniuliza namwambia aah hapo umependeza,akiuliza tena namwambia eeh umependeza sana akiuliza tena najibu ndio hizo zimekupendeza zaidi,najibu tu almradi aridhike asisumbue na yeye kashashtuka sasa anasema we muongo unasifia tu almradi,hapo nashindwa kuwaelewa wanawake.
 
Mimi huwa napendeza kwa faida zangu binafsi,wala si kwaajili ya kumfurahisha mtu.

May be hata huyo mtu wa kumfurahisha huna.

Amini usiamini, ni raha sana kusikia mwenzio amefurahishwa na jinsi ulivyotoka.
 


Wakati mwingine inatokea na hasa hasa kama muda umeenda sana na mnachelewa ila hicho ni kitu kibaya sana kwani humtendei haki. Akipata shiga yake akamtoa kasoro anaweza kukuchukia. Mimi huwa najitahidi kumweleza ukweli.
 
Mwanamke kiumbe cha ajabu.
Saikolojia inasema mwanamke anafanya mambo kushindana na mwanamke mwenzake.
Kuhusu mavazi ni hivyo hivyo.
My take-anatakiwa kushirikiana na mumewe/mpenzi wake kuhusu aina gani ya mavazi avaie.ie anatakiwa amfurahishe mumewe na mwanamme amfurahishe mkewe.
 
Wakati mwingine inatokea na hasa hasa kama muda umeenda sana na mnachelewa ila hicho ni kitu kibaya sana kwani humtendei haki. Akipata shiga yake akamtoa kasoro anaweza kukuchukia. Mimi huwa najitahidi kumweleza ukweli.
mara nyingi anakua kashapendeza lakini hajiamini,hata nikimweleza ukweli sometime yeye anakua hajaipenda hiyo nguo,ndio maana mwisho nachoka naamua kuitikia tu vyovyote maana mie huwa sioni mantiki yoyote apendeze sana asipendeze kwangu doesnt matter.
 
Shurti mwanamke apendeze na sio kumpendezesha mume, mashoga nk, yeye mwenyewe nafsi yake!
 

Binadamu yeyote yule awe mwanamke au mwanaume anapoamua kuvaa nguo huwa anafanya hivyo kutokana na hisia alizonazo kwamba nguo ile inampendeza zaidi na humpa raha ndani ya roho yake kwa kujua kwamba amependeza.

Na kwa maoni yangu ni kosa kubwa kwa mwanaume kumlazimisha mkewe/GF avae nguo anayoitaka yeye badala ya ile anayoitaka mkewe/GF wake. Kama hili hii linatokea basi ili kuepusha ugomvi ni bora tu kukubaliana na uamuzi wa mwenzio kuhusu ni nguo gani anayoitaka kuivaa badala ya kumlazimisha avae nguo asiyoitaka.
 

umeelezea vizuri sana WOS,
mrs wangu huwa anapenda kunipachagulia nivae nini,lkn kwa sababu nguo zote nilizonazo nazipenda huwa hainipi shida namkubalia,kazi ni anaponiambia nimchagulie yeye,to be honest i dont have a taste na women clothes apart from jeans na tops au mini na top.....kwahiyo huwa nakuwa diplomatic namwambia kila anachovaa huwa anatoka bomba,naogopa kum-disappoint
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…