Mwanamke akiwa amechora Tattoo sijisumbui hata kumuomba namba yake ya simu

Mwanamke akiwa amechora Tattoo sijisumbui hata kumuomba namba yake ya simu

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
553
Binafsi hii ni moja ya red flag kubwa sana ambayo inaniogopesha toka kwa mwanamke, hii ni kwangu mimi lakini sijajua kwa wanaume wenzangu wanachukuliaje jambo hili.

Just imagine mwanamke amechora Tattoo kwenye maziwa au kwenye makalio na sehemu zote hizo wakati anachora Tattoo Artist amezishika vyakutosha na asilimia kubwa ya wanawake waliochora Tatto ni maharage ya Mbeya, ukiwa na mwanamke amechora Tattoo basi tambua huyo ni chawote.

Wanawake wengi wanajuta baada ya kufika umri flani wakiwa bado wana Tattoo kwenye miili yao tena sehemu za wazi kabisa, kwa nchi za wenzetu huko America mama mtu mzima wa miaka 50 au 60 hata akiwa na Tattoo bado atapata heshima ileile toka kwa watu aliowazidi umri ila kwa nchi zetu za Africa hasa hapa Tanzania ukiona mtu mzima mwenye umri wa miaka 50 au 60 ana Tattoo hapo hapo unaanza kumkadiria heshima ya kumpa kulingana ni jinsi alivyouchora mwili wake kwa Tattoo.

Huwa najiuliza msichana wa kitanzania huwa anawaza nini mpaka kuamua kuchora Tattoo ya tako au kwenye maziwa.Kuchora Tattoo gharama ni za kawaida sana and it is very easy to afford ila ukitaka kufuta aiseee ni very expensive tena unatakiwa uende nchi kama South Africa au nchi nyingine za ulaya ndo kuna wataalamu wazuri wa kufuta.

Je wewe mwanaume mwenzangu unachukuliaje unapoona mwanamke unaempenda amechora Tattoo au mpenzi wako anakuomba akachore Tattoo ?

Karibuni tupeane uzoefu
 
Sasa hayo maeneo uliyotaja unawezaje kumuona hadi ushindwe kumuomba namba?😅😅... Anyway, ni lifestyle tu kwa wengine na mapenzi binafsi, kwahiyo sio wote wanaochora tattoo wako kwenye engo hiyo unayoiwaza wewe mkuu.
 
Sasa hayo maeneo uliyotaja unawezaje kumuona hadi ushindwe kumuomba namba?😅😅... Anyway, ni lifestyle tu kwa wengine na mapenzi binafsi, kwahiyo sio wote wanaochora tattoo wako kwenye engo hiyo unayoiwaza wewe mkuu.
Wengi wanaochora Tattoo kwenye maziwa huwa wanaacha ile sehemu wazi ili upate kuziona Tattoo zake, au wewe hujawahi kuwaona hao wadada ?
 
Binafsi hii ni moja ya red flag kubwa sana ambayo inaniogopesha toka kwa mwanamke, hii ni kwangu mimi lakini sijajua kwa wanaume wenzangu wanachukuliaje jambo hili.

Just imagine mwanamke amechora Tattoo kwenye maziwa au kwenye makalio na sehemu zote hizo wakati anachora Tattoo Artist amezishika vyakutosha na asilimia kubwa ya wanawake waliochora Tatto ni maharage ya Mbeya, ukiwa na mwanamke amechora Tattoo basi tambua huyo ni chawote.

Wanawake wengi wanajuta baada ya kufika umri flani wakiwa bado wana Tattoo kwenye miili yao tena sehemu za wazi kabisa, kwa nchi za wenzetu huko America mama mtu mzima wa miaka 50 au 60 hata akiwa na Tattoo bado atapata heshima ileile toka kwa watu aliowazidi umri ila kwa nchi zetu za Africa hasa hapa Tanzania ukiona mtu mzima mwenye umri wa miaka 50 au 60 ana Tattoo hapo hapo unaanza kumkadiria heshima ya kumpa kulingana ni jinsi alivyouchora mwili wake kwa Tattoo.

Huwa najiuliza msichana wa kitanzania huwa anawaza nini mpaka kuamua kuchora Tattoo ya tako au kwenye maziwa.Kuchora Tattoo gharama ni za kawaida sana and it is very easy to afford ila ukitaka kufuta aiseee ni very expensive tena unatakiwa uende nchi kama South Africa au nchi nyingine za ulaya ndo kuna wataalamu wazuri wa kufuta.

Je wewe mwanaume mwenzangu unachukuliaje unapoona mwanamke unaempenda amechora Tattoo au mpenzi wako anakuomba akachore Tattoo ?

Karibuni tupeane uzoefu
Kwa tunaojua maisha ya ulaya na marekani kawaida tu....labda bongo ndo watu wanashtuka...Ni Kama vile Kuna wanawake wanasema hawataki wanaume wavuta bangi.....ila yupo mtu ana vuta bangi na watoto wake wanakula vizuri wanasoma mashule ya gharama..na jamaa anatembelea gari ya million 200 na jamaa hamtesi mke wake
 
Binafsi hii ni moja ya red flag kubwa sana ambayo inaniogopesha toka kwa mwanamke, hii ni kwangu mimi lakini sijajua kwa wanaume wenzangu wanachukuliaje jambo hili.

Just imagine mwanamke amechora Tattoo kwenye maziwa au kwenye makalio na sehemu zote hizo wakati anachora Tattoo Artist amezishika vyakutosha na asilimia kubwa ya wanawake waliochora Tatto ni maharage ya Mbeya, ukiwa na mwanamke amechora Tattoo basi tambua huyo ni chawote.

Wanawake wengi wanajuta baada ya kufika umri flani wakiwa bado wana Tattoo kwenye miili yao tena sehemu za wazi kabisa, kwa nchi za wenzetu huko America mama mtu mzima wa miaka 50 au 60 hata akiwa na Tattoo bado atapata heshima ileile toka kwa watu aliowazidi umri ila kwa nchi zetu za Africa hasa hapa Tanzania ukiona mtu mzima mwenye umri wa miaka 50 au 60 ana Tattoo hapo hapo unaanza kumkadiria heshima ya kumpa kulingana ni jinsi alivyouchora mwili wake kwa Tattoo.

Huwa najiuliza msichana wa kitanzania huwa anawaza nini mpaka kuamua kuchora Tattoo ya tako au kwenye maziwa.Kuchora Tattoo gharama ni za kawaida sana and it is very easy to afford ila ukitaka kufuta aiseee ni very expensive tena unatakiwa uende nchi kama South Africa au nchi nyingine za ulaya ndo kuna wataalamu wazuri wa kufuta.

Je wewe mwanaume mwenzangu unachukuliaje unapoona mwanamke unaempenda amechora Tattoo au mpenzi wako anakuomba akachore Tattoo ?

Karibuni tupeane uzoefu
Ni urembo tu uchukuliwe hivo, sema bado hamjazoea.
 
Wengi wanaochora Tattoo kwenye maziwa huwa wanaacha ile sehemu wazi ili upate kuziona Tattoo zake, au wewe hujawahi kuwaona hao wadada ?
Yeah wapo, vipi umeshawahi kudate kadhaa na ukajiridhisha kwamba walio wengi wa hivyo wako na tabia tofauti na wale ambao hawachori tattoo or mlengo wako sio watabia ila ni vile haupendi tu kuona mwanamke ako na tattoo?
 
Kwahiyo wanawake wote ambao hawana tattoo ni watakatifu sio? Unaomba namba wanawake njiani halafu unawahukumu hapo hapo kisa tattoo? Vipi wewe unayeomba namba hovyo,uwekwe kundi gani?

Kama heshima yako kwa mtu inategemea na muonekano wa huyo mtu basi unasafari ndefu sana,

Heshimu binadamu kama walivyo,mambo yao waachie wenyewe.
 
Tatizo watu wapo brainwashed sana..

Tattoo ni asili pia ya Africa... tena wengi walitumia MOTO na baadhi ya materials ambayo yalikuw yanaumua ngozi zaidi.. na sio INK kama sasa hivi.

Fatilia wamakonde wanaweka Ndonya.. bado wale wanaotumia Korosho etc.

Tattoo ni pambo kama Mapambo mengine, nafkir cha kuzingatia ni nini kimeandikwa ktk hiyo Tattoo.

Binafsi Napenda kukulana na Mwanamke mwenye Tattoo huw inanipa msisimko wa kihisia zaidi.
 
Back
Top Bottom