Mwanamke akiwa anatumia vidonge vya majira, je anaweza pata mimba?

Mwanamke akiwa anatumia vidonge vya majira, je anaweza pata mimba?

Sheffer95

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2020
Posts
211
Reaction score
515
Habari wana jf ningependa kuuliza kidogo

Hivi kwa mfano mwanamke awe na tatizo la homone imbalance linalomsababishia kuanza hedhi mapema huku siku nyingine ikikata mapema baada ya siku 2-3 na baadae kidogo ina Anzatena
Sasa alipoenda hospitali akapewa vile vidonge vya uzazi wa mpango

Ila baada ya kuanza kutumia, maritime yake yamekuwa makubwa au kuvimba kidogo huku titi la kulia likiwa na maumivu na pia la kushoto likiuma sehemu ya chuchu
N.B kipindi anaanza tumia dawa hizi za uzazi wa mpango alikuwa akiendelea shiriki tendo la ndoa
Je anaweza akawa amepata ujauzito, au ni side effects za hizo dawa
Karibuni wajuzi
 
1. Efficiency yake katika kuzuia mimba ni more than 95% kwa mtu alievitumia vizuri kwa kufata masharti, kwaio kuna less than 5% chance ya Kupata mimba kwa mtumiaji mzuri, kwa mtumiaji mbaya na kwa lengo tofauti uwezekano upo mkubwa tu.

2. Progestin only pills (POP) - Zinaweza Kuleta side effects kama kuvimba na kuuma kwa matiti, Pamoja na chunusi, na maudhi mengine madogo madogo.

3. Combined oral contraceptive pills (COC) - Huwa na side effects kama naumivu ya kichwa, miguu, kifua, kupumua kwa shida n.k Lakini pia zinahusishwa kuchangia kwa asilimia ndogo kupata saratani ya matiti, shingo ya uzazi, na endometrial cancer, kwa watu ambao wako genetically predisposed to izo saratani na wametumia vidonge hivyo kwa muda murefu sana.
 
1. Efficiency yake katika kuzuia mimba ni more than 95% kwa mtu alievitumia vizuri kwa kufata masharti, kwaio kuna less than 5% chance ya Kupata mimba kwa mtumiaji mzuri, kwa mtumiaji mbaya na kwa lengo tofauti uwezekano upo mkubwa tu.

2. Progestin only pills (POP) - Zinaweza Kuleta side effects kama kuvimba na kuuma kwa matiti, Pamoja na chunusi, na maudhi mengine madogo madogo.

3. Combined oral contraceptive pills (COC) - Huwa na side effects kama naumivu ya kichwa, miguu, kifua, kupumua kwa shida n.k Lakini pia zinahusishwa kuchangia kwa asilimia ndogo kupata saratani ya matiti, shingo ya uzazi, na endometrial cancer, kwa watu ambao wako genetically predisposed to izo saratani na wametumia vidonge hivyo kwa muda murefu sana.
Shukran sana kwa hii elimu
 
Back
Top Bottom