Africa hatutakuja kupiga hatua milele, labda vizazi vijavyo make tumejaa ujinga wa kupindukia na ujinga ndi vitu tunapendaKuna huu msemo .
Mwanamke akiwa kwenye hedhi haruhusiwi kuchuma mboga za matunda kama vile nyanya maji,nyanya chungu,pilipili washa na hoho.
Pia vilevle haruhusiwi kupita au kushika majani ya hizo mboga akiwa kwenye siku zake.
Kwa hiyo kama ni kweli ndo ivo kuna uhusiano gani kati ya hedhi na izo mimea .
Hii kitu nimeikuta kwa jamaaa mmoja ambaye ni mkulima mwenzagu.
Yule jamaa analaumu kuwa hoho zake zime kauka baada ya kuruhusu wanawake kuchuma, akawa anaimani ya kuwa may be kati yao alikua period.
Naomba tuwekane sawa hili jambo kama lina ukweli ndani yake au laa.
hizi ni porojo za vijiweni kama kawaida Waafrica na vitu kama hivi huwa tuko deep sana humu kuna watu watashuka page tatu hadi nne kuelezeaMwambie atuthibitishie kwanza kuwa mmoja wao alikuwa hedhi,baada ya hapo tutaanza kumtafuta mchawi vizuri.
Pia, kwa wakulima, unafikiri akiwa hedhi huwa hatfanyi kazi zake za shamba hadi atoke kwenye hiyo hali?
Hata hivyo mleta mada utakuwa unamaanisha kitu kingine kwa fasihi
Huo ukweli kwa nini hukumuuliza yeye? Any way labda hivi [emoji117]Walawi 15:25Kuna huu msemo .
Mwanamke akiwa kwenye hedhi haruhusiwi kuchuma mboga za matunda kama vile nyanya maji,nyanya chungu,pilipili washa na hoho.
Pia vilevle haruhusiwi kupita au kushika majani ya hizo mboga akiwa kwenye siku zake.
Kwa hiyo kama ni kweli ndo ivo kuna uhusiano gani kati ya hedhi na izo mimea .
Hii kitu nimeikuta kwa jamaaa mmoja ambaye ni mkulima mwenzagu.
Yule jamaa analaumu kuwa hoho zake zime kauka baada ya kuruhusu wanawake kuchuma, akawa anaimani ya kuwa may be kati yao alikua period.
Naomba tuwekane sawa hili jambo kama lina ukweli ndani yake au laa.
Tena ex anakuja kukukomoa πππWenye roho mbaya huwa wanategea akiwa kwenye siku zake ndio anakuja kwenye bustani yako kukuharibia.
Akili zingine sifuri kabisa!Sasa kitu ambacho kipo tumboni kinawezaje kuwa shida?.Hivi unadhani kwa nini unavua nguo na kukaa uchi ukiwa ndani kwako na kufanya hivyo ndiyo sawa?Na vipi kama utavua nguo na kukaa uchi mbele za watu itakuwa ni umechizi?.Hili swala ni la kiimani zaidi, wadhungu mtu hata akiwa hedhi analiwa vizuri tu. Ila nachoshindwaga kuelewa kuwa wanawake wenyewe wanajidharau wakiwa hedhi kwanza kuita hedhi uchafu jambo ka kufikiria sana? Imani hujenga tabia na mawazo yako. Mie nakataa hili swala kuwa mwanamke akiwa hedhi atengwe au asifanye kazi zake eti shamba linakauka, si kweli. .
Kama hedhi ni unajisi mbona watu wanakaa na mimavi tumboni week nzima? Ni sehemu ya chakula ulichokula ila utasikia unajisi. Watu wanaenda kuswali na mavi tumboni je unajisi unatoka saa ngapi? Ifike mda tuwaze kila lisemwalo sio kila lisemwalo ni ukweli. Huko mahospitalin, wapishi, wauza mazao wengi wanawake na wanauza kipindi cha hedhi hatuoni hayo mambo wanayoyadai. Shida elimu. .
Watu walikuwa wanatembea uchi Africa hata kabla wazungu hawajafika na walikuwa wanaona sawa tu. Vitu vingi watu wanavyoamini ni nadharia. Usimpige mtu na mwiko, usipishane wawili mlangoni, usipite kati ya watu kana kwamba popote unapopita hupitoi kati ya watu, very sad in deed. Mitazamo inajenga tabia na utamaduni kitu ambacho sio kweli. .Akili zingine sifuri kabisa!Sasa kitu ambacho kipo tumboni kinawezaje kuwa shida?.Hivi unadhani kwa nini unavua nguo na kukaa uchi ukiwa ndani kwako na kufanya hivyo ndiyo sawa?Na vipi kama utavua nguo na kukaa uchi mbele za watu itakuwa ni umechizi?.
Chief ebu tupatie ata kidogo ilikusudi tujue.Kuna ka ukweli sema watu mnaleta uzungu mwingi sisi tulioa kulia mashambani huko hivo vitu vinatokea ww ukutaka kujua wacha wanawake wawe wanachuma utakuja kunipa jibu
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app