Mwanamke akiwa hivi lazima nikimbie tu

Mwanamke akiwa hivi lazima nikimbie tu

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
Binafsi mwanamke nikimkuta akiwa na muonekanao huu lazima nikimbie hata kama namuhitaji kwa kiasi gani

Kope bandia
Nywele kashonea
Kucha bandia
Suluali yaani jeans imetoboka magotini
Sura imejaa make up

Hapo hata sijushughulishi nae

Je nyie wenzangu huwa muonekano upi unakufanya umkimbie mwanamke ikiwa unahitaji kumtongoza?
 
Binafsi mwanamke nikimkuta akiwa na muonekanao huu lazima nikimbie hata kama namuhitaji kwa kiasi gani

Kope bandia
Nywele kashonea
Kucha bandia
Suali imetoboka magotini
Sura imejaa make up

Hapo hata sijushughulishi nae

Je nyie wenzangu huwa muonekano upi unakufanya umkimbie mwanamke ikiwa unahitaji kumtongoza?
Hao unaowakimbia wewe mi ndo nawataka..sitaki manzi mlokole mlokole

#WanawakeWanatakaMashine....za ATM na sio kitu kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao unaowakimbia wewe mi ndo nawataka..sitaki manzi mlokole mlokole

#WanawakeWanatakaMashine....za ATM na sio kitu kingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani makamu wa raisi ule muonekano unamfanya asipendwe?

Lazima heshima iwepo kila kitu bandia huyo hadi kucha siku atakupikisha na kukufulisha nguo
 
Binafsi mwanamke nikimkuta akiwa na muonekanao huu lazima nikimbie hata kama namuhitaji kwa kiasi gani

Kope bandia
Nywele kashonea
Kucha bandia
Suali imetoboka magotini
Sura imejaa make up

Hapo hata sijushughulishi nae

Je nyie wenzangu huwa muonekano upi unakufanya umkimbie mwanamke ikiwa unahitaji kumtongoza?
Mkuu sasa huyo mwanamke au mdoli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma sanaa...unakuja mpaka geto kwangu kucheza karata au kupiga story..??
Nlivokutongoza ukanikubalia ulitarajia nini..niwe kakako au?
Utatoa hutoi...

Hahaha vivulana vya siku hizi
Mapenzi yenyewe hawajui hata maanake nini..mi mwanaume akitanguliza kuomba papuchi nampa kibuti siku hiyo hiyo...
[emoji23][emoji23][emoji23] noma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom