Hao unaowakimbia wewe mi ndo nawataka..sitaki manzi mlokole mlokoleBinafsi mwanamke nikimkuta akiwa na muonekanao huu lazima nikimbie hata kama namuhitaji kwa kiasi gani
Kope bandia
Nywele kashonea
Kucha bandia
Suali imetoboka magotini
Sura imejaa make up
Hapo hata sijushughulishi nae
Je nyie wenzangu huwa muonekano upi unakufanya umkimbie mwanamke ikiwa unahitaji kumtongoza?
Hao unaowakimbia wewe mi ndo nawataka..sitaki manzi mlokole mlokole
#WanawakeWanatakaMashine....za ATM na sio kitu kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
hata mbunye inaweza kuwa ya bandiaHapo ni kusepa tu maana huyo kila kitu bandia
Mkuu sasa huyo mwanamke au mdoli?Binafsi mwanamke nikimkuta akiwa na muonekanao huu lazima nikimbie hata kama namuhitaji kwa kiasi gani
Kope bandia
Nywele kashonea
Kucha bandia
Suali imetoboka magotini
Sura imejaa make up
Hapo hata sijushughulishi nae
Je nyie wenzangu huwa muonekano upi unakufanya umkimbie mwanamke ikiwa unahitaji kumtongoza?
-Huo muonekano unamfanya asipendwe na mimi,Kwani makamu wa raisi ule muonekano unamfanya asipendwe?
Lazima heshima iwepo kila kitu bandia huyo hadi kucha siku atakupikisha na kukufulisha nguo
Nimeweka kambi hapa nasubiri atoe hizo sababuubado hujasema sababu hasa ya kukimbia kwa muonekano uliousema.
[emoji23][emoji23][emoji23] noma sana
Anaweza kuta na nyapu ni bandiabado hujasema sababu hasa ya kukimbia kwa muonekano uliousema.