Mwanamke akiwa hivi lazima nikimbie tu



Tuko chama moja. I have no time for fake women at all.
 
Mkuu unaonekana wewe ni mapenzi ndoa sana.

Kwasisi wazee wa kupiga then speed 120 hizo type zinafaa sana coz hao huwa wanatoa zile style kama popo kanyea kambi nk.
 
Mkuu unaonekana wewe ni mapenzi ndoa sana.

Kwasisi wazee wa kupiga then speed 120 hizo type zinafaa sana coz hao huwa wanatoa zile style kama popo kanyea kambi nk.

Mkuu unatakiwa uanzishe mahusiano yenye tija kuna mimba je unaweza kukataa mtoto si mara zote utavaa kinga
 
Bora uwakimbie wengine mashoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Petro 3:3-6
[3]Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
[4]bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
[5]Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
[6]Kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana; nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa kwa hofu yo yote.

Kwa kifupi wacha Mungu huwa maranyingi wanatofautiana na dunia, ili waduniani wakiwaona wavutiwe na Mungu wanaomwamini.

Mapambo yote, wanja, nywele, lipstick, heleni, bangiri, vikuku n. K
Vilitumika kwa wanawake wazinifu(makahaba)

Au yalikuwa ni mavazi ya wanawake wakimataifa ila sio wa Israel, lakini taifa la Israel walipenda kuwa sawa na mataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeremia 4:30
[30]Na wewe, utakapotekwa, utafanyaje? Ujapojivika mavazi mekundu, ujapojipamba mapambo ya dhahabu, ujapojitia wanja machoni, unajifanya kuwa mzuri bure tu; wapenzi wako wanakudharau; wanakutafuta roho yako.

Wanaokuheshimu wanakutumia tu maana wewe hufai kuwa mke, ambayo ni hasara kwa roho yako, uliye mtakatifu ila wajifanya kama kahaba katika mwonekano.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Wafalme 9:30-33
[30]Hata Yehu alipofika Yezreeli, Yezebeli akapata habari; akatia uwanja machoni mwake, akapamba kichwa chake, akachungulia dirishani.
[31]Hata Yehu alipoingia lango la mji, alisema, Je! Ni amani, Ewe Zimri, mwenye kumwua bwana wako?
[32]Akainua uso wake kulielekea dirisha, akasema, Aliye upande wangu ni nani? Matowashi wawili watatu wakachungulia.
[33]Akasema, Mtupeni chini. Basi wakamtupa chini; na damu yake ikamwagika nyingine juu ya ukuta, na nyingine juu ya farasi, naye akamkanyaga-kanyaga.


Yezebeli, kahaba alipaka wanja ili amshawishi Yehu asimuue, aliona kufanya hivyo ni kumfanya Yehu aingie tamaa ya kingono, lakini Yehu alikataa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufunuo wa Yohana 2:20
[20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ni kwamba hata penzi atakalokupa unalifananisha na kope bandia au? toa sababu mkuu huenda ukatuokoa
 
Hata mimi nilikua najisemea hivyo,
Mara paap nkaingia 18 za mmoja wao, alivyo mtamu hayo mengine sina habari nayo waka hanikeri hata kidogo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hutaki kuombwa papachu halafu kimbelembele kutaja dhiki zako..

Kuwa na standards Kwanza halafu mwanaume ata feel thamani yako na ata kutreat km mwanamke mwenye thamani. Unadhani mwanaume ni mjinga kukuona tu ma kuanza kugusia ngono?

Unadhani kila mwanamke uwaga tunagusia ngono mapema mapema?

Value value value!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimkimbia wewe kuna ambae atamkimbilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…