Mwanamke akiwa hivi lazima nikimbie tu

Kweli mmetofautiana kuna best angu alipata jamaa mmoja anaependa nywele ndefu akamwambia awe anasuka mana alikua ananyoa akaanza kusuka jamaa akawa ananunua na mawigi bila kuambiwa. KIZURI MACHONI PAKO NDUGU.
 
Kweli mmetofautiana kuna best angu alipata jamaa mmoja anaependa nywele ndefu akamwambia awe anasuka mana alikua ananyoa akaanza kusuka jamaa akawa ananunua na mawigi bila kuambiwa. KIZURI MACHONI PAKO NDUGU.

Kusuka 100% napenda mwanamke wa hivyo mwenye nywele zake za asili ila sio nywele bandia ngumu sana kwangu kumkubali mwanamke wa hivyo
 
As long ananipa papuchi Mara 4 kwa wiki na mizinga sio ya mwendo kasi,nitakimbia vipi kwa mfano,aniletee papuchi Jumatatu,Jumatano,ijumaa na Jumapili
 
Hivi kuna wanawake wanaweza kua na sifa zote alizozutaja mleta Uzi?
 
huyo ni
huyo ni mzuri maana akionekana bandia bandia na wewe onekana bandia bandia ili ule na usepe fasta
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…