Mwanamke akiwa na assets nyingi anakuwa anafanya kazi gani?

STUKA MKUU


Huyo jamaa ni mteja wangu wa hapa Congo na mara nyingi hua nampa vumbi kama zawadi huwa anagoma


Cha ajabu wiki hili kanambia kabisa nimtafutie wanapouza lile Original anashida nalo sana..
 
kakinichanganya | Hujawa na mahusiano naye tayari anakuchanganya, Tafakari, Je ni vipi ukishakuwa naye kwenye mahusiano na ukajagundua yaliyofichika, Je hali yako itakuwa vipi? Je kazi itafanyika kweli?, Epuka mahusiano sehemu ya kazi mwisho wake huwa si mzuri.
-
mda anakuaga na jamaa ake na huyu jamaa ake | Hii ni sababu tosha kabisa ya wewe kutokuwa na mahusiano naye, Kwa busara ya kawaida haishauriwi kula "mtu ambaye tayari unatambua ana mtu wake"
-
Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?

| Linapokuja swala la zinaa, hakuna tofauti, Do at your own risk,
-
La mwisho hivi mdada mpaka anakua na asset nyingi ndani kwa haraka haraka atakua anafanya kazi gani....?

| Sikutegemea kuona swali kama hili, hauko serious kwa kweli.
 
kwasababu huyo dada mmezoeana na anakuelewa, ukienda nae vizuri ki saikolojia, utajua huyo jamaa anaendaga Congo kufanyaje, na hizo asset zake kapataje kama ndo anahidumiwa na huyo jamaa,

ila kwakua wewe umeshamkuta jamaa kwa huyo demu,

jamaa anaweza akawa hajamuoa ila hujui akini mwake plan zake zipoje,
utakuta labda yeye ndo anamuhudumia na hizo asset na kodi amechangia kwa kiasi kikubwa ?
 
Mkuu kwanini unatafuta matatizo ya kujitakia?

Nature imekuonya hapo Sasa wewe endelea kuto sikia.
 
Grahams ukuje hapa mtetezi wa wazee wa ..
Sijasoma comments zote ila Kuna vitu viwili ama vitatu huyo jamaa wa Binti anafanya;

Inaweza kuwa ni dereva wa magari ya mizigo yaendayo Congo n.k

Ama ni askari wa kulinda amani waliopo Congo japo hili Sina hakika nalo maana wale wakienda huwa wanakaa zaidi ya Mwaka ndiyo hurudishwa na kupelekwa askari wengine.

Pia huenda jamaa ni mtu wa drugs, wale ambao husafirisha mzigo ama kufata mzigo na kuuingiza Bongo..

Lakini pia huyo Dada huenda anafanya shughuli za kuuza mwili, hii biashara inafanywa sana na Wadada wengi hapa Mjini.

I once met mmoja wa binti Fulani, anafanya hiyo biashara Kwa Siri sana bila mumewe/Mpenzi wake kujua. Alikiri kwangu as nilitumia mbinu za kimedani katika kupata ukweli wa kaz yake.

Yeye anafanya online delivery, ana simu mbili Moja ni ile mumewe/Mpenzi wake anaijua na nyingine ni hiyo maalumu Kwa kazi hiyo.

Kwahiyo Kuna Chumba amepanga sehemu ambacho mumewe hakijui, na anatoka asubuhi kama mumewe afanyavyo kuwa anaenda Kazini.

Kurudi nyumbani ni saa 4 usiku Kila Siku 🙌

Ukipishana naye njiani unaweza kumuomba namba, maana ananukia vizuri na yupo na usafiri binafsi kabisa (ana drive).
 
Mambo ya wadada waachie wadada wenyewe wanazaliwa na mitaji. Madada hapa mjini wanasukuma hadi ndinga za milion 200 na kazi hawana.
Narudia tena mambo ya madada waachie wenyewe
 
Sea Beast
Najua wewe una kitu mkuu maana una vitu
Boss katika vitu vinavyosababisha kusikia mtu kauliwa ukiachana na migogoro ya ardhi basi inayofuata ni mahusiano.

Hakuna mtu mzima aliye singo hivyo tunapokuwa na uhitaji wa kuwa n mahusiano tunatongoza tukijua kabisa tunampindua mtu ambae hatumjui aliye na huyo mwanamke (Legal way). Illegal ni pale mwanaume kutaka kumuingia mwanamke fulani ikiwa tiali unamjua mtu wake yaani tena na wewe anakujua (Very Sin).

Mbali ya kuwa ni sio uanaume pili jua wajinga hii dunia wajaisha unaosikia sikuzote 'wamuana kisa mwanamke' sio kwamba kweli wameuana ila mmoja ambae mjinga kamuua mmoja ambae mwerevu kwa hapa wewe ni mwerevu unaingilia penzi la mtu sijui huyo jamaa Ana akili gani yeye.

Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?
_Adhabu inategemea na akili na hisia za mwenye demu kumbuka hii sio adhabu kisheria kuomba ufanyiwe fair wasiokuwa na akili mtaani wajaisha
 
Aisee
 
MOOD MNAKERA HIVI KAZI ZA KUFANYA HAKUNA MPAKA MNABADILI TITLE...

NYIE WAZEE HOVYO SANA.... MNAKERA MNOOOO

NDO NINI MLICHOANDIKA JUU HAPO...?
JIKITENI KWENYE KUPIGA WATU BAN ILA SIO KUBADILI TITLE ZA WATU.

SIJUI HAMNA ELIMU YA TITLE CREATER..
SIJUI HAMSHINDAGI YOUTUBE HUKO....
 
Ahahahah sawa mkuu shukrani sasa mwalimu hapa nimekuelewa..

Ila mood wana boa sana
 
Si umesha ambiwa usitamani chochote alichonacho jirani yako, yaani usitamani hata demu wake wala mchepuko wake.

Endelea na ubishi, ila kaa ukijua mauti yako iko malangoni mwako.

Mchepuko/ hawara anauma kuliko mke
Mkuu hatariii na nusu daaah sema mapenzi ni hatariii sana..... Ujue
 
STUKA MKUU


Huyo jamaa ni mteja wangu wa hapa Congo na mara nyingi hua nampa vumbi kama zawadi huwa anagoma


Cha ajabu wiki hili kanambia kabisa nimtafutie wanapouza lile Original anashida nalo sana..
Ahahahahah wewe skia mkuu haliwi mtu hapa..
Never and ever
 
Potelea mbali bana ...
Kama ipo ipo tuu aiseee
 
Mkuu kwanini unatafuta matatizo ya kujitakia?

Nature imekuonya hapo Sasa wewe endelea kuto sikia.
Naacha naaacha
Nasemaje naacha
Yasije yakanikuta maana siku izi wana record kabisa
 
Ahahahahha that way nikasema wewe kwenye ushauri ni genius.

Sijapata ushauri kama huu hapo juu aiseee full respect sana mkuu..

Itakua Askari wa kulinda amani na wakienda wanakaaga mwaka mzima hii nimeipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…