Mwanamke akiwa na assets nyingi anakuwa anafanya kazi gani?

Mambo ya wadada waachie wadada wenyewe wanazaliwa na mitaji. Madada hapa mjini wanasukuma hadi ndinga za milion 200 na kazi hawana.
Narudia tena mambo ya madada waachie wenyewe
Ewaaaaaah hapo umeamua sasa
.
Hii ni leo leo
 
Ahahahha daaah mkuu maneno adimu sana kusikia kwa watu ila wewe umefanya nielewe A to Z aiseeee

Daah mkuu hapa ni kukaa nae mbali tuu hakuna kingine
 
WAKUU NIWAMBIE TU NIMESHAULIWA SANA ILA NAONA KAMA NIMELOGWA HIVI...

Maana kilichotokea mda huu naona kabisa siwezi achana na haya mambo aisee..

Kama watakuja na mafuta watajipaka wenyewe I don't care
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…