Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
-
- #101
Ewaaaaaah hapo umeamua sasaMambo ya wadada waachie wadada wenyewe wanazaliwa na mitaji. Madada hapa mjini wanasukuma hadi ndinga za milion 200 na kazi hawana.
Narudia tena mambo ya madada waachie wenyewe
Ahahahha daaah mkuu maneno adimu sana kusikia kwa watu ila wewe umefanya nielewe A to Z aiseeeeBoss katika vitu vinavyosababisha kusikia mtu kauliwa ukiachana na migogoro ya ardhi basi inayofuata ni mahusiano.
Hakuna mtu mzima aliye singo hivyo tunapokuwa na uhitaji wa kuwa n mahusiano tunatongoza tukijua kabisa tunampindua mtu ambae hatumjui aliye na huyo mwanamke (Legal way). Illegal ni pale mwanaume kutaka kumuingia mwanamke fulani ikiwa tiali unamjua mtu wake yaani tena na wewe anakujua (Very Sin).
Mbali ya kuwa ni sio uanaume pili jua wajinga hii dunia wajaisha unaosikia sikuzote 'wamuana kisa mwanamke' sio kwamba kweli wameuana ila mmoja ambae mjinga kamuua mmoja ambae mwerevu kwa hapa wewe ni mwerevu unaingilia penzi la mtu sijui huyo jamaa Ana akili gani yeye.
Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?
_Adhabu inategemea na akili na hisia za mwenye demu kumbuka hii sio adhabu kisheria kuomba ufanyiwe fair wasiokuwa na akili mtaani wajaisha
Physical she lookUmejuaje mkuu?
Vitu vya ndani tuu vya ghalama Furnituretutjie hizo assets
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uongooo!!!Ni zaidi ya hivo mkuu.....
Narudia tena ni zaidi ya hivo mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utauponza.
Kwani unamjua wewe auUongooo!!!
Ndyoo!! Uongooo!!Kwani unamjua wewe au
Haya kama uwamini basi..Ndyoo!! Uongooo!!
She tena ππ kajenge tu mkuu fundi majumbaPhysical she look
daaah bora ni focus na kujenga tuu mkuu au sio niachane na mapenzi sioShe tena ππ kajenge tu mkuu fundi majumba
Alafu wee jamaa hi comment ya kinafiki sana ahahahahah daaahShe tena ππ kajenge tu mkuu fundi majumba
Sasa mwanaume anakuwaje she tena mkuu?Alafu wee jamaa hi comment ya kinafiki sana ahahahahah daaah
Achana nayo we jenga tu majumba na sio mahusiano.daaah bora ni focus na kujenga tuu mkuu au sio niachane na mapenzi sio
Mkuu najichanganya sana kichwa mambo mengi mnoSasa mwanaume anakuwaje she tena mkuu?
We kuweza mkuu ahahaha mbona kama una mambo ya kichawi hiviAchana nayo we jenga tu majumba na sio mahusiano.
Tafuta bangi vuta ata pafu mbili utajanishukuru.Mkuu najichanganya sana kichwa mambo mengi mno
Ila bibi πΉπΉπΉπΉTunapitia hali ngumu ya maisha" wewe nanani, mumeo au mkeo